Rais Samia Suluhu Hassan: Serikali kufanya mazungumzo kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo

Rais Samia Suluhu Hassan: Serikali kufanya mazungumzo kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa serikali ipo katika mazungumzo ili kuweza kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo. Hayo ameyasema leo Tarehe 26, 06. 2021 wakati wa hotuba yake katika mkutano wa 12 wa baraza la biashara.

Rais Samia amesema pia hiyo itakwenda sambamba na mradi wa Mchumchuma na Linganga kuwa nao mazungumzo yanaendelea ili waone mwekezaji atatoa ngapi na Serikali ngapi ili kuweza kuendeleza mradi huo. Akaongeza kuwa chuma imepanda bei duniani hivyo ni wakatk sahihi wa Tanzania kuchamka.

View attachment 1830564

Pia soma:
Mazungumzo yazingatie maslahi mapana ya Taifa
 
Grow up and discuss the current issues. JPM is no more!
Acha kutumia maneno ya kiingereza usiyojua maana yake.

•ujenzi wa uwanja wa ndege chato sio current issue?
•ununuzi wa ndege na ufufuaji wa atcl sio current issue?
•ujenzi wa sgr, flyovers, stigilaz goji sio current issues

Ulivyo zwazwa unajua current ni kile kilichofanyika leo na kuendelea. Wewe na "pipo usidi tu dai ini ze reki"...'fonti fedi.' Ni walewale.
 
Kama wakulima wa korosho kusini walivyoumizwa na jiwe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ulivyo taahira unafikri atakae umia hapa labda ni Magufuli na familia yake, hapana!

Ni bibi, babu, baba, mama na ukoo wako kule kijijini kwenu.
 
Mama Samia alipaswa kudenounce alichokisema Magufuli wakati ule kuhusu hii bandari. Otherwise tunaachiwa maswali mengi zaidi ya majibu
 
Kilichobakia ndio kinamaliziwa maliziwa.

Wenye nchi wanakwenda kuwa watumwa kwenye nchi yao , amini nawaambieni.
Mkuu 'Statesman',

Nadhani nimekwishakuelewa uliposimama, na haupo mbali sana na mimi.

Fanya hivi: mpe nafasi. Anasema wana mazungumzo, na Bagamoyo, Gesi, Mchuchuma, sijui na wapi kwingine...

Tumdai kwa nguvu zote haya mazungumzo anayofanya atufunulie kilichozungumzwa.

Hii miradi yote anayoikimbiza sasa hivi ndio utajiri wetu hasa, kama hatutaambulia kitu hapa, ndio basi tena, maanake hana habari kabisa na mambo ya wakulima na wafanya kazi. Yeye kajizatiti tuuu kuiuza hii miradi.

Sasa nakuomba, huku kulialia kwetu hakutasaidia kitu chochote kwa sasa, kwa sababu kama ni kuuza atauza tu!

Ni bora auze akijuwa kwamba tunajuwa anatuuza na tutapinga kwa nguvu zote kama haturidhiki; na hatutaishia kulialia tu!

Tudai kwa nguvu zote tuelezwe hayo mazungumzo yanakokwenda.

Sasa angalia, hatujui Dangote kapewa nini hadi katoa hadi gigo la mwisho! Si ni bora tujue? Kwa nini tubaki tunalialia kijumla jumla tu?

Akina Zungu na wenzao, tutawatapisha tu tukishajiridhisha, kama wana njama za kutuuza.
 
Hii nzuri siyo mtu anakwenda kubeba swala na simba Serengeti anapeleka chato nyumbani kwao. Nchi imepitia kipindi kigumu sana hii
So wale waliobeba twiga kwenye ndege kwenda kwa hawala zenu wazungu?
 
Kilichobakia ndio kinamaliziwa maliziwa.

Wenye nchi wanakwenda kuwa watumwa kwenye nchi yao , amini nawaambieni.
Yes mkuu nakuelewa vizuri sana.
Ngoja na tusubiri wala siyo mbali,hawa wanaoshabikia oooh tunaenda vizuri sasa au tumetoka kwenye kipindi kigumu sana, ndiyo hawa hawa watakuja na mada mpya.

Tuweke nukta moja.
 
Kilichobakia ndio kinamaliziwa maliziwa.

Wenye nchi wanakwenda kuwa watumwa kwenye nchi yao , amini nawaambieni.
Mradi Huu Mama Uangalie kwa Jicho pana sana..Wachina Sio Watu wazuri kabisa...Mm siamini kabisa wanasiasa wakishupalia Jambo kama huwajua hawa watu wana mengi sana....Nilivyoona Kisingizio cha kuokoa ajira nikajua Tayari...

Kama Ni bandari Tukope Tujenge sisi Wenyewe iwe ya Serikali..Mkimpa Mchina Ajenge..Aendeshe ila aalipe kodi TUMEISHA...Mizigo kutoka China watapitisha Bandari yao hiyo Na zetu zote zitakufa na Wataamua wao wafanye nn...

Kisingizio cha ajira ni cha Kisiasa Zaidi...Hakuna Usimamizi Mzuri wa Hizo Ajira kuona Maslahi ya Watu Wetu..Watu hufanya kazi kwa wachina kwa mateso makubwa masaa 12 au zaidi na mshahara mdogo sana kabisa...Mama angalia hili kwanza kabisa.


KINGINE Bandari Tukope sisi tujenge tuendeshe Tulipe deni lakini ukiwapa Hawa Mama wajenge wamiliki tumekwisha....Aliyosema Marehemu Magufuli kuhusu mradi huu sio kweli kwamba yote yalikua Uongo...Tujifunze Kule Zambia Au Hata Congo wamevamia hawa wachina Ni balaa kubwa Bila kuthibiti hawa nibwakoloni hatari sana.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ulivyo taahira unafikri atakae umia hapa labda ni Magufuli na familia yake, hapana!

Ni bibi, babu, baba, mama na ukoo wako kule kijijini kwenu.

Mradi wa Bagamoyo unaendelea……
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa serikali ipo katika mazungumzo ili kuweza kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo. Hayo ameyasema leo Tarehe 26, 06. 2021 wakati wa hotuba yake katika mkutano wa 12 wa baraza la biashara.

Rais Samia amesema pia hiyo itakwenda sambamba na mradi wa Mchumchuma na Linganga kuwa nao mazungumzo yanaendelea ili waone mwekezaji atatoa ngapi na Serikali ngapi ili kuweza kuendeleza mradi huo. Akaongeza kuwa chuma imepanda bei duniani hivyo ni wakatk sahihi wa Tanzania kuchamka.

View attachment 1830564

Pia soma:


Swali langu moja tu kwanini China inataka kutoa mkopo na kuwa mwendeshaji hapohapo kwanini tusiendeshe wenyewe au kuwe na tender maalumu ya uendeshaji?

Inawezekana kabisa tukawa na majengo pale mengi lakini tujue kama pesa inaenda kulipa madeni na mapato ya bandari ya Dar hayatakuwepo ni kama utumwa maana inawezekana tukawa tumejifunga
 
Msaidizi mkuu, mshauri mkuu
Mkuu wa mashauri, mkuu wa wanashauri. Ni sifa.
BinAdam.
Kumbe ni kweli kuna CCM mbili ndani ya CCM.

maoni yangu hapo ni Chukua Chako Mapema.
 
Na wasiruhusiwe kuwa na sovereignty of the area... etc etc...
Sovereignty ya sea haikwepeki angalau kwenye teritory ambayo itawapa kufanya kazi kwa faida
Sisi tunachotakiwa kuamua ni kusuka au kunyoa
Hizi ni heavy investment, mwekezaji ni lazima alindwe kwenye mkataba. Na hapo ndipo wafia tumbo wataonekana wazi na wazalendo pia.
Timu itakayoundwa kumshauri rais juu ya vipengele vya mkataba huo wasiwe wafia tumbo na wawe wanajua sheria na bishara za kimataifa
 
Back
Top Bottom