Hayo ni mawazo yako na mbaya zaidi ni nje ya mada, we Kama unafikiri adui wa nchi hii ni JPM basi unamatatizo si bure after all huyo jpm unaye pambana naye tayari yuko mbele za haki huko.
Na Kama unaamini kuwa mahakama zilikuwa zinafanya kazi kwa maelekezo ya jpm basi nasasa pia tuamini kuwa mahakama zinatenda kazi kwa maelekezo ya mama au sio ndio Mana watu wanaachiwa ovyo ovyo kwasababu ya maelekezo kutoka kwake au vipi?
Huu sio muda wa kupambana na Magu huku watu wanaenda kukabidhi ardhi kwa mchina miaka 99.