Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawala huu ni zaidi ya msiba kwa taifa. Tutakuja juta.Kilichobakia ndio kinamaliziwa maliziwa.
Wenye nchi wanakwenda kuwa watumwa kwenye nchi yao , amini nawaambieni.
Hii ndio wazungu wanasema a nail on the coffin.Sijawahi kutilia Shaka hii statement yako. Nina uhakika hivyo ndivyo itakavyokuja kuwa. Nilisoma pdf moja hv ya jamaa nikastuka sana.
Kama mahakama enzi za mwendazake zilivyowakomoa watu kwa kesi za kubambikaUkisoma comments vizuri, utagundua kuwa watu hawataki kabisa kutafakari kwa undani ishu ya hii bandari badala yake wanakubali tu kisa itamkomoa magufuli.
Hi ni ajabu sana hii nchi tuna kazi ngumu sana.
Wakati wa jpm yeye hakukataa huu mradi ila alikataa terms zake, na ujue hadi rais anatoka hadharani kusema vile ujue walisha jaribu mazungumzo ya kubadili terms ila yalikwama.Binafsi naona maoni ya watu ni 50/50, coz swali la mkataba mpaka leo limekosa majibu.
Big up Mama Samia.Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa serikali ipo katika mazungumzo ili kuweza kuendeleza mradi wa bandari ya Bagamoyo. Hayo ameyasema leo Tarehe 26, 06. 2021 wakati wa hotuba yake katika mkutano wa 12 wa baraza la biashara.
Rais Samia amesema pia hiyo itakwenda sambamba na mradi wa Mchumchuma na Linganga kuwa nao mazungumzo yanaendelea ili waone mwekezaji atatoa ngapi na Serikali ngapi ili kuweza kuendeleza mradi huo. Akaongeza kuwa chuma imepanda bei duniani hivyo ni wakatk sahihi wa Tanzania kuchamka.
View attachment 1830564
Pia soma:
Mtazamo wangu, mchina atafanya kama alivyofanya nchini Sri Lanka, Watajenga bandari pamoja na Masharti yote lakn mwisho wa siku kwa sababu GOT tunakopa sana kwenye serikali ya China wataichukua bandari yote.Mkuu we unaamini kuwa mchina atajenga huo mradi kwa faida ya mtanzania?
Swali la.msingi unaamini kabisa China watakubali mkataba ambao Tz watanufaika ikiwa pesa yote wanatoa wao?Contract content matters
Mkataba alioufuta Magufuli ulikuwa worse kuliko wakati wa ukoloni.
Mkataba uwe win/win na isiadhiri uendelezaji wa bandari zingine
China? China ajenge kwa ajili ya manufaa ya Tanzania?Big up Mama Samia.
Positive thinking is what is needed.
Nakuelewa sana.Hii ndio wazungu wanasema a nail on the coffin.
Tumekaribisha mnyang'anyi chumbani kabisa.
We are done, completely.
Goodbye mother Tanzania.
Dah acha tu yaani. Tumekwisha manChina? China ajenge kwa ajili ya manufaa ya Tanzania?
Sasa hiki ndicho tunashindwa kutafakari badala yake tunakalia kukomoana kisiasa kwaajili tu ya kuwafurahisha watu fulani.Mtazamo wangu, mchina atafanya kama alivyofanya nchini Sri Lanka, Watajenga bandari pamoja na Masharti yote lakn mwisho wa siku kwa sababu GOT tunakopa sana kwenye serikali ya China wataichukua bandari yote.
Win/win kama haipo wasepe kwao hatuwatakiSwali la.msingi unaamini kabisa China watakubali mkataba ambao Tz watanufaika ikiwa pesa yote wanatoa wao?
Soma kuelewa usisome kumaliza.Kuufufua kwa terms zipi? nilitegemea aseme kuupitia upya huo mradi ajiridhishe na vipengele vilivyomo coz nae alikuwa sehemu ya serikali iliyopita iliyoukataa huo mradi.
Mwenyezi Mungu atuhurumie.Sasa, tusikilizie kwenye ardhi maana ndio pekee iliyobaki. Hii nayo tukipigwa basi ndio mwisho wetu rasmi kama nchi.
Hayo ni mawazo yako na mbaya zaidi ni nje ya mada, we Kama unafikiri adui wa nchi hii ni JPM basi unamatatizo si bure after all huyo jpm unaye pambana naye tayari yuko mbele za haki huko.Kama mahakama enzi za mwendazake zilivyowakomoa watu kwa kesi za kubambika
Natamani kukwambia "tuwe na imani" ila roho inasita, historia ya viongozi wa CCM kwenye hii mikataba sina hamu nao, na isije kuwa sisi ndio tunaenda kuwabambeleza wachina warudi kwa kigezo cha kurudisha wawekezaji.Wakati wa jpm yeye hakukataa huu mradi ila alikataa terms zake, na ujue hadi rais anatoka hadharani kusema vile ujue walisha jaribu mazungumzo ya kubadili terms ila yalikwama.
Sasa swali jiulize je mchina atakubali kubadili zile terms kisa tu aliyepo madarakani ni mama?
Huoni hapa Kuna kila dalili za kukubaliwa kwa mkataba uleule?
Na wasiruhusiwe kuwa na sovereignty of the area... etc etc...Contract content matters
Mkataba alioufuta Magufuli ulikuwa worse kuliko wakati wa ukoloni.
Mkataba uwe win/win na isiadhiri uendelezaji wa bandari zingine
Najua wameyafukua makaburi yaliyomshinda mtangulizi wake.Soma kuelewa usisome kumaliza.
Wamefufua mazungumzo kujadiliana kuhusu mradi.