ndikumangenge
Member
- Jan 6, 2019
- 86
- 68
uko sahihi kabisa akiri ya huyo jamaa haina tofauti na askari wa kambi ya mateso ya sobibo enzi za Ardoph HitterBora kasema maana huyo waziri wa feza anaweza kuagiza wafanyabiashara wanaodaiwa kodi wamwagiwe tindikali.
Kwahiyo mtangulizi wake alikuwa anatumia nguvu badala ya akili?
Pumbafu weee ebu lipa kodi stahiki kima wee, hakuna janja janja hapa au mnataka mturudishe enzi za mkwere??Wewe unafanya biashara gani.?unataka kusema Rais anachoongea ni uongo ila wewe Koti la chawa ndy unajua Ukweli? Wengi wenye kuishi kwa vikazi vya wajomba huona mfanyabiashara kama adui...
Pigia mstariKwahiyo mtangulizi wake alikuwa anatumia nguvu badala ya akili?
Kweli kabissa yaani mafisi maji yameisha anza kum- drag kama toroliHuyu mama nampa miezi 6 tu tunarudi kulekule enzi za JK
hili liko waziKwahiyo mtangulizi wake alikuwa anatumia nguvu badala ya akili?
alietumia nguvu huendakuwa kakusanya vizuri, ila kaua zaid biashara.Hii ni kauli ya kutokujua,,watu wanakwepa kodi kila siku K'koo,vitu vya laki mbili unapewa risiti ya 65000..usipotumia nguvu,tutakula nyasi humu ndani.
mama D hapo ulipogusia ni pazuri. haswa BRELA. hawa jamaa nao ni jipu la muda mrefuKwakweli rais awaambie tuu...... TRA, BRELA, TIC, HALMASHAURI ni majipu, watumie akili na waache kuhujumu juhudi za serikali na wawekezaji
[emoji3][emoji3][emoji3]Bora kasema maana huyo waziri wa feza anaweza kuagiza wafanyabiashara wanaodaiwa kodi wamwagiwe tindikali.
mama D hapo ulipogusia ni pazuri. haswa BRELA. hawa jamaa nao ni jipu la muda mrefu
Mimi mwenyewe nipo kariakoo naonaga ayo.. wakija TRA kila mtu anaegesha fremu yake anasepaKweli...
Ndio maana TRA wakiwa around na center flani..kila mtu Nduki.
Kuna mambo ukibembeleza bembeleza hayaendi kamwe!
ππππBora kasema maana huyo waziri wa feza anaweza kuagiza wafanyabiashara wanaodaiwa kodi wamwagiwe tindikali.