Rais Samia Suluhu kuzuru Uganda Kesho Aprili 11 kwa mwaliko maalumu wa Rais Museveni

Bora ss tupumzike na hbr ya chato vjawah ona upumbavu km ule unahamisha ikulu iwe kjjn kwenu kweli hakika tumejifunza mengi
 
Malaika jiwe tayari kafa na ameshafukiwa mkewe soon ataanza kushughulikiwa na mabaharia.

Cha kukushauri tafuta kazi ya kufanya huwezi kula kwa kumsifia mfu akupe cheo.
 
Wasimfundishe tabia mbaya hawa na PAKA ndio waliomharibu jiwe kisha wakasusa hata kumzika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…