Rais Samia Suluhu kuzuru Uganda Kesho Aprili 11 kwa mwaliko maalumu wa Rais Museveni

Rais Samia Suluhu kuzuru Uganda Kesho Aprili 11 kwa mwaliko maalumu wa Rais Museveni

Mama yangu kafikaje hapa? Anyway I meant no offense, ila kama ile comment yangu imekukwaza ipotezee tu.
Mataga kwa sasa ukikutana naye njiani mpitie mbali sana hachekewi kukupiga ngumi
 
Nyuma ya Mama Kuna wapiga deal wanaojua kula na vipofu
Kupiga wanaweza wakapiga cha msingi wasiwe wanakesha kujisifu kuwa wao ni wateule kutoka kwa mungu kama walivyo kuwa wanajisufu wale walio tangulia
 
Hatujasahau yaliyompata Garang akitokea Uganda kwa mara ya mwisho!
😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎 😎😎 😎 😎 😎 😎 [emoji95] [emoji95] [emoji95]
Museveni alimtoa kafara Garang. How did he let him fly in a chopper?
 
Moja ya project ya Magu,yaani alikua anafanya mambo ya maana.
 
Mataga kwa sasa ukikutana naye njiani mpitie mbali sana hachekewi kukupiga ngumi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mkuu, mimi mmoja kaisha nitukania mzazi wangu, hakika wamevurugwa, kwani SSH siyo mwenzao??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mkuu, mimi mmoja kaisha nitukania mzazi wangu, hakika wamevurugwa, kwani SSH siyo mwenzao??
Hawamtaki maana kawakataa kuwapa nafasi ya kumuuzia habari za umbea na uchonganishi dhidi ya watawala na wapinzani.
 
Back
Top Bottom