Rais Samia Suluhu: Mkikidhi vigezo, Chato tutaifanya kuwa Mkoa

Angekuwa fulani angejibu hivi
"Kuanzia leo Chato ni Mkoa tayari"
 
Kwenye msiba kunakua na ahadi nyingi sana suhiri watu watawanyike sasa. Danadana kibao..

Mama atakua na vipaombele vyake so sidhan kama hicho kitakua kimojawapo
 
Chato ndiyo mwisho wao kwisha sasa
Nahifadhi comment ili nione Kama miezi mitano ijayo utakuwa bado na fikra hizi au utakuwa unaendelea kulalamika mitandaoni
 
Hapo Kagera tunamegwa tena ....
Mkuu, ndio ulikuwa mpago wenyewe - kumega sehemu ya Mkoa wa Kagera specifically Ngara may be part ya Karagwe na Kasulu - usifikiri Burigi ilikuwa inapigiwa debe as if it belongs to Chato bila sababu. Mpango huo nilikuwa siuingi mkono hata kidogo, hasa uporaji wa Ziwa Burigi na kulibatiza Chato /Burigi wakati ukweli ni kwamba Ziwa hilo lipo Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera.
 
Umemsikia au umehadithiwa?? Kwa Kauli ya Rais Chato haiwezi kuwa Mkoa kwa maana haiwezi kidhi vigezo vya kuwa mkoa.
 
Watawala wetu huwa wanafurahia sana ujinga wetu.
Panaitwa mkoa hakuna vitega uchumi, bora tu na wao wapo mkoani.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kaondoka na uwanja wa ndege unaenda kuwa pori la kulishia mifugo
Haya mawazo ya kijinga tu mnadhani dhahabu na mbuga za wanyama vinavyochangia mikoa mingine isiyo na chocote nayo ameondoka navyo ukiachia akili na nguvu ya wana Chato? Wivu mwingine wa kipumbavu.
 
Kwenye kuomboleza ndo kauli zake...subiri msiba uishe tunarudi kwenye vipaombele vya nchi..

Unafikiri hosptal ya Rufaa chato itapata bajet kama zilivyo hosptal za Rufaa?
 
Ila chato ni kuzuri
Mkazi wa Chato anavuta Oxygen nzuri kuliko mkazi wa Masaki
 
Kuna tatizo lolote chato ikiwa mkoa?
 
Wilaya tajwa hapo juu zinaunganishwa na mbuga ya Burigi-Chato. Kwa ukubwa wake, zinatosha kuwa mkoa. Mkoa huu utakuwa na kila vigezo vya kuwa mkoa kwa vile una idadi ya kutosha ya watu, eneo, na kila sababu ya kuwa mkoa hata pasina kuwa ndiko alikozaliwa Magufuli.n Rais Samia amesema ataufanya mkoa kama utakidhi vigezo. Hapo nimetaja vichache. Je, wewe unashaurije?
 
Kwenye kuomboleza ndo kauli zake...subiri msiba uishe tunarudi kwenye vipaombele vya nchi..

Unafikiri hosptal ya Rufaa chato itapata bajet kama zilivyo hosptal za Rufaa?
Nani atakubali kwanza kwenda kuishi Chato tena?
 
Na kama hautakidhi atawapa muongozo jinsi gani wataweza lupata vigezo.
 
Umemsikia au umehadithiwa?? Kwa Kauli ya Rais Chato haiwezi kuwa Mkoa kwa maana haiwezi kidhi vigezo vya kuwa mkoa.
Duh...aisee...kazi mnayo...wapotoshaji mko wengi aisee..duh...Yaani hata aibu huna....Rais hajasema hivyo...amesema mchakato umeanza na Kama vigezo havitoshi wataelekeza namna ya kufanya kukamilisha vigezo ili Chato iwe mkoa kumuenzi JPM...umesikia wewe .mpotoshaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…