Dah ikiwa hivyo kufikia 2050 Tz itakuwa na mikoa 75!Mama amekubali, amesema hata kama wataona vigezo havijakidhi basi watawaelekeza ili vigezo vikidhi
Ndio nimeanza kumuona huyu mama hamna kitu
Basi Butiama, Mkuranga, Bagamoyo, Masasi nazo zingefanywa mkoa basi kwa kuwa nazo zimetoa viongozi waliofanya makubwa tu
Unaipa chato kuwa mkoa wakati kuna mikoa mikubwa kama Morogoro haijagawanywa
Shamba la kulishia ngombeKwa hiyo una maanisha RANCHI au SHAMBA KAMA SHAMBA
Team njaa kali upooItakua unasikiliza Lisu Redio Fm ila kama umemsikiliza rais, mipango ya chato iko pale pale.
Hamna cha chato wewe ulitaka asemeje wakati mwili wa bos wake bado haujazikwa ngojea azikwe akalie kiti aone cha moto ndo utajua hujui, yaan huku wanalia ajira, huku wanalia maafa huku korona akumbuke kujenga uwanja wa mpira chato mh nicheke kidogo hiiiiiiiiiiiItakua unasikiliza Lisu Redio Fm ila kama umemsikiliza rais, mipango ya chato iko pale pale.
Mwehu huyuUna maana gani mkuu?
Mkuu, kama kuna wilaya zinahitajika kuifanya Chato kukidhi vigezo vya kuwa mkoa, kwa nini isiwe kwamba Chato ndiyo iende iunganishwe na hizo wilaya halafu moja ya hizo wilaya zingine ndiyo iwe mkoa?Wilaya tajwa hapo juu zinaunganishwa na mbuga ya Burigi-Chato. Kwa ukubwa wake, zinatosha kuwa mkoa. Mkoa huu utakuwa na kila vigezo vya kuwa mkoa kwa vile una idadi ya kutosha ya watu, eneo, na kila sababu ya kuwa mkoa hata pasina kuwa ndiko alikozaliwa Magufuli.n Rais Samia amesema ataufanya mkoa kama utakidhi vigezo. Hapo nimetaja vichache. Je wewe unashaurije?
Na hivyo vigezo ndio ngumu kufikiwa! Mwanza iligawanywa ukapatikana mkoa wa Geita, sasa Geita nayo igawanywe upatikane mkoa wa Chato! Kipi cha zaidi huku? Kule Moro kuna wilaya ili uifikie unatumia masaa karibu 16 kwa nini wasifikirie kuugawa mkoa kama huo!?Ukikidhi vigezo alisikika raisi. Shida ni vigezo si jambo lingine. Ukishakidhi vigezo kwann usiwe mkoa?
Ikishakuwa Mkoa itakimbia sana na hata ule uwekezaji utaimarika zaidiChato ndiyo mwisho wao kwisha sasa.
Sawa mkuuIkishakuwa Mkoa itakimbia sana na hata ule uwekezaji utaimarika zaidi
Kazi ipoNa hivyo vigezo ndio ngumu kufikiwa! Mwanza iligawanywa ukapatikana mkoa wa Geita, sasa Geita nayo igawanywe upatikane mkoa wa Chato! Kipi cha zaidi huku? Kule Moro kuna wilaya ili uifikie unatumia masaa karibu 16 kwa nini wasifikirie kuugawa mkoa kama huo!?
We jamaa una point sana kwenye hili. Mimi mwenyewe sielewagi sababu za kugawa mikoa.Tatizo sio Chato kama Chato tatizo lipo wanasiasa wanapo endelea kuigawa nchi na kutengeneza mikoa,majimbo,wilaya,harafu wakituaminisha kwamba hicho kitendo kinaleta maendeleo,
Mwananchi wa kawaida anataka Maji,shule,afya,Usalama,ajira,chakula,badala ya kufikiria kuigawa nchi na kuongeza maeneo ya kiutawala,bora wangesema tutajenga mradi wa kilimo Cha umwagiliaji mkubwa kuliko yote Afrika,wa miwa,Mpunga,au kiwanda Cha nyama,maziwa,au kuweka plant ya kua assemble magari,wao wanataka kuifanya Chato iwe mkoa,tupate RC,RAC,RPC,na mavyeo meeengi yasio na tija,hapa hatuleti maendeleo,tunaongeza Wage bill kwa serikali,Mkoa sio kiwanda,hatuzalishi,ni utawala tu,hauongezi panadol Wala asprini,
Kama ni huduma za ardhi,jenga ofisi ya kanda,weka maofisa kwenye ofisi ya DC,
Badala ya kuleta RC,na kumjengea Ofisi,bora kijengwe chuo kikuu Cha sayansi na tekinolojia,silicon valley iwe Chato,au kuna ubaya gani kukawa na Kariakoo nyingine Chato,lakini sio limkoa,
Hakukuwa na Tija kuigawa Arusha,kutengeneza Manyara,hakuna tija kuwa na Katavi,simiyu,Dar ilikuwa na wilaya tatu tu,Kinondoni,Ilala,Temeke,leo zipo tano,hata kama watu wameongezeka,ukubwa wa Dar upo pale pale kijiografia,kama ni huduma huitaji watumishi wengi,ni vitendea kazi tu,ongeza mashule,hospitari,vituo vya polisi.
Madakitari.sio huu upuuzi wa kuongeza watawala.
HaaπππChato ndiyo mwisho wao kwisha sasa.
Andamana MkuuMama amekubali, amesema hata kama wataona vigezo havijakidhi basi watawaelekeza ili vigezo vikidhi
Ndio nimeanza kumuona huyu mama hamna kitu
Basi Butiama, Mkuranga, Bagamoyo, Masasi nazo zingefanywa mkoa basi kwa kuwa nazo zimetoa viongozi waliofanya makubwa tu
Unaipa chato kuwa mkoa wakati kuna mikoa mikubwa kama Morogoro haijagawanywa
Kuna wimbo wa twanga pepeta unaimba, "Chuki binafsi haifai yooo... Tuiacheni jamani italeta tafrani"Mama amekubali, amesema hata kama wataona vigezo havijakidhi basi watawaelekeza ili vigezo vikidhi....
Taratibu mkuuHaaπππ
ThubutuNaanza kuona mwanga baada ya kiza kinene.