Pazi na Jogoo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 331
- 494
Huyu mama sasa namuona tofauti na mwanzo, alivyosema ile majuzi kwamba "Aliyesimama hapa ndiye Rais wa JMT" milikuwa sijaelewa ila leo nimemuelewa sana.
Najua wengi walitegemea kwamba leo leo atatamka wazi kwamba Chato ni Mkoa, lkn kweli huyu mama niwatofauti.
Taratibu zifuatwe na vigezo vizingatiwe full stop!
Najua wengi walitegemea kwamba leo leo atatamka wazi kwamba Chato ni Mkoa, lkn kweli huyu mama niwatofauti.
Taratibu zifuatwe na vigezo vizingatiwe full stop!