Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.
Amesema ya Kuwa Taasisi Zenye kuongozwa au zenye idadi kubwa ya Wanawake huwa zinafanya vizuri sana na kuleta au kutoa Matokeo Chanya. Kauli hiyo ilikuwa ni katika kurejelea utafiti wa kisayansi ambao umewahi kufanywa siku za nyuma na kuja na matokeo hayo.
Rais wetu amezungumza hayo katika kuelezea nafasi, Mchango ,uwezo wa Mwanamke katika uongozi na katika kuchochea maendeleo.
Katika hilo Mimi Mwashambwa Lucas ninamuunga mkono Rais wetu. Hata ukiangalia katika Nchi yetu utagundua ya kuwa Wanawake ni watu makini sana maofisini na katika kazi zao za kila siku,ni watu wanaozingatia sana kazi bila kupuuza wala kuleta ubabaishaji.
Na ni watu makini, waadilifu,waaminifu , wachapakazi na wenye kuridhika na maslahi wanayopokea au kupata . Ndio maana huwezi kuwakuta kwenye makashifa au skendo za Rushwa na Ufisadi.
Embu jaribu kuona hapa Nchini makashifa ya rushwa na ufisadi mkubwa mkubwa ambao umewahi kutokea na kufanyika hapa Nchini. Utakuta majina yaliyojaa na watu waliohusika kwa kiasi kikubwa ni wanaume pekee yaoo.
Ni wanaume ndio utakuta wakitumia hovyo sana hata madaraka yao katika kujinufaisha. Wakati wanawake wanatumia madaraka na vyeo vyao kwa ajili ya watu wote. Wanawake ni watu wakarimu, wanyenyekevu,wapole na wastaarabu sana wawapo katika nafasi za uongozi na hivyo kufikika kiurahisi na watu wenye shida na wenye kuhitaji msaada na kusaidiwa.
Wanawake ni watu wenye kuwaza watu badala ya matumbo yao na tamaa zao au matamanio yao binafsi. Wakati unakuta wanaume akipata kazi tu cha kwanza anaanza kuwaza namna ya kuiba,kuchota na kufuja pesa za umma kwa maslahi yake binafsi. Wanaume wanakuwa wanafaya kazi ya kushindana kuiba na kuficha pesa. Huwezi ukakuta Mwanamke ni kiongozi amefungua akaunti nje ya Nchi kwa ajili ya kuficha pesa za wizi ,rushwa na ufisadi.
Mwanamke ni mtu mwenye huruma ,upendo na mwenye kuguswa na shida za watu. Ni mtu ambaye anaumia kuona mtu akiwa na shida. Ni wepesi wa kutoa msaada na kumuhudumia mtu. Wakati wanaume ni wagumu kuguswa na shida za watu .badala yake atataka umpooze kwa chochote kile kwa ajili ya tumbo lake. Wakati mwanamke anaona huruma ya kumfanyia ubaya na roho mbaya mtu.
Mwanamke ukimpa ofisi anakuwa na uchungu nayo ,kuijali na kutaka kuona ikiendelea kufanikiwa na kufanya vizuri. Wakati mwanaume yeye anafanya vitu kwa maslahi yake binafsi na hana hata huruma hata kama ikifa kwa kupata hasara yeye anakuwa hana uchungu wala kujali wala kuumia. Ndio maana kuna mashirika ya umma yameuwawa ,kufilisika na kupata hasara kwa sababu ya ufisadi na matumizi mabaya ya mali za umma uliofanywa na wanaume.
Watanzania tunakila sababu ya Kumshukuru Mungu kwa kutupatia Rais Samia kuwa Rais wetu. Tuna kila sababu ya kuona fahari kuwa Na mama kitini.tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Mama na kuendelea kumuombea ili Mungu amjalie Maisha marefu yenye Heri na furaha.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge.
Amesema ya Kuwa Taasisi Zenye kuongozwa au zenye idadi kubwa ya Wanawake huwa zinafanya vizuri sana na kuleta au kutoa Matokeo Chanya. Kauli hiyo ilikuwa ni katika kurejelea utafiti wa kisayansi ambao umewahi kufanywa siku za nyuma na kuja na matokeo hayo.
Rais wetu amezungumza hayo katika kuelezea nafasi, Mchango ,uwezo wa Mwanamke katika uongozi na katika kuchochea maendeleo.
Katika hilo Mimi Mwashambwa Lucas ninamuunga mkono Rais wetu. Hata ukiangalia katika Nchi yetu utagundua ya kuwa Wanawake ni watu makini sana maofisini na katika kazi zao za kila siku,ni watu wanaozingatia sana kazi bila kupuuza wala kuleta ubabaishaji.
Na ni watu makini, waadilifu,waaminifu , wachapakazi na wenye kuridhika na maslahi wanayopokea au kupata . Ndio maana huwezi kuwakuta kwenye makashifa au skendo za Rushwa na Ufisadi.
Embu jaribu kuona hapa Nchini makashifa ya rushwa na ufisadi mkubwa mkubwa ambao umewahi kutokea na kufanyika hapa Nchini. Utakuta majina yaliyojaa na watu waliohusika kwa kiasi kikubwa ni wanaume pekee yaoo.
Ni wanaume ndio utakuta wakitumia hovyo sana hata madaraka yao katika kujinufaisha. Wakati wanawake wanatumia madaraka na vyeo vyao kwa ajili ya watu wote. Wanawake ni watu wakarimu, wanyenyekevu,wapole na wastaarabu sana wawapo katika nafasi za uongozi na hivyo kufikika kiurahisi na watu wenye shida na wenye kuhitaji msaada na kusaidiwa.
Wanawake ni watu wenye kuwaza watu badala ya matumbo yao na tamaa zao au matamanio yao binafsi. Wakati unakuta wanaume akipata kazi tu cha kwanza anaanza kuwaza namna ya kuiba,kuchota na kufuja pesa za umma kwa maslahi yake binafsi. Wanaume wanakuwa wanafaya kazi ya kushindana kuiba na kuficha pesa. Huwezi ukakuta Mwanamke ni kiongozi amefungua akaunti nje ya Nchi kwa ajili ya kuficha pesa za wizi ,rushwa na ufisadi.
Mwanamke ni mtu mwenye huruma ,upendo na mwenye kuguswa na shida za watu. Ni mtu ambaye anaumia kuona mtu akiwa na shida. Ni wepesi wa kutoa msaada na kumuhudumia mtu. Wakati wanaume ni wagumu kuguswa na shida za watu .badala yake atataka umpooze kwa chochote kile kwa ajili ya tumbo lake. Wakati mwanamke anaona huruma ya kumfanyia ubaya na roho mbaya mtu.
Mwanamke ukimpa ofisi anakuwa na uchungu nayo ,kuijali na kutaka kuona ikiendelea kufanikiwa na kufanya vizuri. Wakati mwanaume yeye anafanya vitu kwa maslahi yake binafsi na hana hata huruma hata kama ikifa kwa kupata hasara yeye anakuwa hana uchungu wala kujali wala kuumia. Ndio maana kuna mashirika ya umma yameuwawa ,kufilisika na kupata hasara kwa sababu ya ufisadi na matumizi mabaya ya mali za umma uliofanywa na wanaume.
Watanzania tunakila sababu ya Kumshukuru Mungu kwa kutupatia Rais Samia kuwa Rais wetu. Tuna kila sababu ya kuona fahari kuwa Na mama kitini.tuna kila sababu ya kuendelea kumuunga mkono Mama na kuendelea kumuombea ili Mungu amjalie Maisha marefu yenye Heri na furaha.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.