Rais Samia: Taasisi Zenye Idadi Kubwa ya Wanawake Zinafanya Vizuri sana na Kufanikiwa.

taasisi anayo ongoza yeye inafanya poa ama ndio tia maji tia maji
 
Nchi inapalanganyika,nchi imekosa msimamo,nchi haina mwenyewe,watu wanajichotea tu kwa sababu ya usimamizi mkuu kutoka kwa wanawake.
 
Nchi inapalanganyika,nchi imekosa msimamo,nchi haina mwenyewe,watu wanajichotea tu kwa sababu ya usimamizi mkuu kutoka kwa wanawake.
Katika makuzi yako ulipata malezi ya Mama yako Mzazi? Kwamba mama yako aliyekuzaa huamini kama anaweza kuwa kiongozi na kuongoza? Kwanini unatoa kauli za udhalilishaji kwa wanawake ikiwepo na Mama yako mzazi ambaye naye ni Mwanamke?
 
Katika makuzi yako ulipata malezi ya Mama yako Mzazi? Kwamba mama yako aliyekuzaa huamini kama anaweza kuwa kiongozi na kuongoza? Kwanini unatoa kauli za udhalilishaji kwa wanawake ikiwepo na Mama yako mzazi ambaye naye ni Mwanamke?
Unajua tunaweza tukawa tunakomaza mafuvu kwamba wewe ni Lukas yule msafwa wa umalila kumbe wewe ni Abdul na Mama samia ni Mamako mzazi, maana sijawah kukuo a unasifia mamako alokuuza, mkuu kama wewe Abdul Sema kuna ishue nikwambie kuhusu Maza ako.
 
Katika makuzi yako ulipata malezi ya Mama yako Mzazi? Kwamba mama yako aliyekuzaa huamini kama anaweza kuwa kiongozi na kuongoza? Kwanini unatoa kauli za udhalilishaji kwa wanawake ikiwepo na Mama yako mzazi ambaye naye ni Mwanamke?
Wewe ni mjinga tu na hilo jina la Lucas linatumika vibaya kudhalilisha uumbaji wa mwenyezi Mungu.Mbona Marekani inafanya vizuri bila hata hao wanawake mnaowapa kipaumbele?Mbona Russia inasonga mbele bila hao wanawake mnaowaona malaika?Mbona China inasonga mbele bila ya usimamizi wa hao wanawake manaowaona ni waaminifu.Mbona Japan inafanya vizuri zaidi bila ya usimamizi wa hao wanawake?

Nchi nyingi Ulaya zinaendelea kuporomoka kimaisha kwa sababu ya kuendekeza propanganda ambazo siyo mpango wa Mungu.
 
Uliongea lini na Mungu akakupa Mipango yake? Kwanini usingemwambia akupatie na wewe akili japo kidogo.
 
Unajua tunaweza tukawa tunakomaza mafuvu kwamba wewe ni Lukas yule msafwa wa umalila kumbe wewe ni Abdul na Mama samia ni Mamako mzazi, maana sijawah kukuo a unasifia mamako alokuuza, mkuu kama wewe Abdul Sema kuna ishue nikwambie kuhusu Maza ako.
Kwani Mama yangu ndiye Rais? Umewahi kusikia kuwa Mama yangu ameongeza Bajeti ya kilimo kutoka Billioni 250 hadi Trilioni moja na point kama alivyofanya Rais Samia? Je ni nani anayetoa pesa za Elimu bure, kuongeza bajeti ya mikopo ya Elimu ya Juu,kuongeza pesa ya kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo kufikia Elfu kumi kwa siku na mengine mengi kama siyo Rais Samia Mwenyewe? Aliyefanya si ni Rais Samia Mwenyewe? Sasa unataka nimsifie Mama yangu mzazi wakati Dunia nzima inafahamu mtekelezaji ni Rais Samia?
 
Uliongea lini na Mungu akakupa Mipango yake? Kwanini usingemwambia akupatie na wewe akili japo kidogo.
Wewe huna akili kila siku siku kusifia wenzio,si upambane na wewe siku moja tukuite Mbunge,Spika,Waziri au Rais kuliko kutumia muda wako vibaya kufubaza fikra zako.
 
Kweli ukosahih ila sijawahi kutana na mti mwenye hulka kama ya kwako ktk maisha live. Sku nikikutana naye i hope itakuwa mara yangu ya kwanza kukutana msukule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…