Rais Samia tahadhari na tulia kidogo. Kazi zako Ikulu anazifanya nani?

Mpemba umeshatia Timu Ili mtuchakaze Watanganyika na Rasilimali zetu. Wezi wakubwa nyie
 

It reminds me how the wise have been depicting the sceneries of what would eventually happen
 
Na hivi weshamjua anachopenda, Watamuandalia PHD katika majimbo sita Ili atuuze na sisi!!

Kawaangusha sana Wanawake wenzake

It is what it is. We have learned the lesson, the hard way. Uongozi wa juu, sio sehemu ya kufanya experiments za kujifunza na kujifunzia
 
Wewe ya Rais yanakuhusu nn mzee
 
Magufuli was incharge of the Country kosa lake tu kuruhusu watu wapotezwe
 
Katika kitu hawezi uyo kizimkazi ni kufanya KAZI mwenyewe hapo ikulu. Madalali ya ikulu ndio ufanya KAZI zake yy kisha anaambiwa kua saini hapa tu.
Unaambiwa hata ripoti za TIS wilaya,Mkoa na taifa hasomi kabisa.




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Na hivi weshamjua anachopenda, Watamuandalia PHD katika majimbo sita Ili atuuze na sisi!!

Kawaangusha sana Wanawake wenzake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huku Africa kuongozwa na mwanamke bado sana. Hata huko mambele ni jambo ambalo bado wana struggle nalo kumpa mwanamke madaraka makubwa kuliko yote kwenye Taifa.

Sisi huku bado basi tu.

Wizara ya mambo ya utalii ingemfaa zaidi.
 
Huku Africa kuongozwa na mwanamke bado sana. Hata huko mambele ni jambo ambalo bado wana struggle nalo kumpa mwanamke madaraka makubwa kuliko yote kwenye Taifa.

Sisi huku bado basi tu.

Wizara ya mambo ya utalii ingemfaa zaidi.
Yaani viwango vya Angela Merkel. Golda Meir, Indira Gandi, Bandaranaike, Margaret Thatcher na Sirleaf wa Afrika Magharibi
Compare and contrast.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…