#COVID19 Rais Samia: Tanzania kuna wagonjwa zaidi ya 100 wa Corona. Chanjo itakuwa ya hiyari

#COVID19 Rais Samia: Tanzania kuna wagonjwa zaidi ya 100 wa Corona. Chanjo itakuwa ya hiyari

Wameweka ndoano ya hela hatimaye kanasa!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ukiwa masikini ni sawa na [emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
Wewe umewekewa ndoano ya umaskini na umenasa,tukufananishe na simba au nyau.
 
Rais Samia amesema wafanyabiashara wengi wa Kitanzania wameshachanja chanjo ya Corona wengine Dubai, SA na Nairobi.

Rais amesema baraza la mawaziri limekaa na kuamua tukubaliane na chanjo na iwe ni hiyari..
Ni vizuri kama wameanza kuweka idadi ya wagonjwa
 
Mimi nina mwezi na nusu tangu nichanje full. Naendelea kuvaa barakoa kwani najua chanjo si kinga asilimia 100. Ila ukichukua chanjo ukajumlisha barakoa, distancing , kujisanitize au kunawa unakaribia kabisa kujikinga kwa asilimia 100.

Dunia ina lengo la kuukomesha ugonjwa huu. Katika lengo hilo ndipo zinakuja hatua mbalimbali ikiwemo kutoa fedha ili kuziwezesha nchi masikini ( Afrika) . Hata Ulaya zipo nchi zimewezeshwa kifedha ili kupigana na covid 19.

Wanaoona hizi fedha ni mtego ni wivu wao tu unawasumbua. Mbona hapo awali hawakusema ni mtego au kwavile zilichukuliwa kimyakimya zikawekwa mifukoni mwa miungu yao!

Mama endelea kuupiga mwingi. Unafanya kazi inayoonekana , siyo blabla tulizokuwa tunaimbiwa na wale watesaji.
Mbona nmeona kwenye kombe la UEFA raia wanakusanyika bila barakoa wala distancing?
 
Tanzania yields to UN, lenders calls on Covid data bado wanazificha Mkuu na IMF wamekataa kutoa mkopo wa $574 millions mpaka hizo data ziwe zinawekwa hadharani kila siku.
Hizo takwimu za wagonjwa kwanini zisiwe zinatolewa kwa public?


Rais anajitahidi sana kuendana na kile WHO wanataka, ningependa atuambie hao wagonjwa wamelazwa hospitali zipi? familia zao wameziweka karantini? na mikoa ipi inaongoza kwa maambukizi.

This is a wake up call, tuamke, ile likizo ya Corona imeisha, now kirusi kipo mjini.
 
Mimi nina mwezi na nusu tangu nichanje full. Naendelea kuvaa barakoa kwani najua chanjo si kinga asilimia 100. Ila ukichukua chanjo ukajumlisha barakoa, distancing , kujisanitize au kunawa unakaribia kabisa kujikinga kwa asilimia 100.

Dunia ina lengo la kuukomesha ugonjwa huu. Katika lengo hilo ndipo zinakuja hatua mbalimbali ikiwemo kutoa fedha ili kuziwezesha nchi masikini ( Afrika) . Hata Ulaya zipo nchi zimewezeshwa kifedha ili kupigana na covid 19.

Wanaoona hizi fedha ni mtego ni wivu wao tu unawasumbua. Mbona hapo awali hawakusema ni mtego au kwavile zilichukuliwa kimyakimya zikawekwa mifukoni mwa miungu yao!

Mama endelea kuupiga mwingi. Unafanya kazi inayoonekana , siyo blabla tulizokuwa tunaimbiwa na wale watesaji.

Mungu ameficha hekima yake isijulikane kwa watawala. Hongera kwa Chanjo kila la kheri
 
Kweli chanjo ni hiari....isipokuwa kwa wale wa front...mipakani sekta utalii vyomba ulinzi na usalama...mahoteli etc hao hawana budi kudungwa
 
Wewe ni mtoto mdogo haya mambo kuyaelewa ni ngumu!

Ukiwa maikini hata mawazo yako na mambo yako lazima yawe ya kimasikini
Yeah right.

Magufuli alikuwa tajiri siyo? Mbona alipokuwa tia maji tia maji kuelekea kibla alikimbizwa Nairobi badala ya kupelekwa kule utajirini Chato kwenye maziwa na asali? 😀 😀
 
Rais Samia amesema wafanyabiashara wengi wa Kitanzania wameshachanja chanjo ya Corona wengine Dubai, SA na Nairobi.

Rais amesema baraza la mawaziri limekaa na kuamua tukubaliane na chanjo na iwe ni hiyari.

Serikali imeshatenga usd 470 milioni kukabiliana na covid 19.

Nawasalimu kwa jina la JMT.

---
Kuna wanaoona hatuko serious ktk mapambano dhidi ya #COVID19. Nilipoingia madarakani nilitamani tupambane na ugonjwa huu kama wanavyofanya mataifa mengine. Tanzania tuna wagonjwa zaidi ya 100 wenye #coronavirus #wave3, kati yao Wagonjwa 70 naa, wapo kwenye mitungi na wengine matibabu ya kawaida.

Tumeamua tukubali chanjo kwa walio tayari.

Tanzania tumeingia kwenye #COVAX community. Wataalamu wetu wanafanyia kazi Chanjo ipi inafaa kwa Watanzania. Kuna mashirika mengi wamejitokeza kutaka kusaidia Watanzania lakini lazima wataalamu wetu ndio watoe ushauri kitaalamu.

Sisi kama Serikali tunahimiza yale yanayoshauriwa na wataalamu; kama unaamini kwenye kupiga nyungu - wewe piga. Kila mmoja atekeleze wajibu wake. Jikingeni sana na wakingeni watoto.

Tumeshaingia huku? Daah!
 
Hizo takwimu za wagonjwa kwanini zisiwe zinatolewa kwa public?

Rais anajitahidi sana kuendana na kile WHO wanataka, ningependa atuambie hao wagonjwa wamelazwa hospitali zipi? familia zao wameziweka karantini? na mikoa ipi inaongoza kwa maambukizi.

This is a wake up call, tuamke, ile likizo ya Corona imeisha, now kirusi kipo mjini.
Mikoa ya kaskazini ni majanga. Yaani ni majanga.
 
Back
Top Bottom