Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hoja zako zinaonesha ni jinsi gani ulivyo mtoto mdogo!Yeah right.
Magufuli alikuwa tajiri siyo? Mbona alipokuwa tia maji tia maji kuelekea kibla alikimbizwa Nairobi badala ya kupelekwa kule utajirini Chato kwenye maziwa na asali? 😀 😀
.
Subiri chanjo ije nikushikie saburi hilo uchanjwe vizuri