#COVID19 Rais Samia: Tanzania kuna wagonjwa zaidi ya 100 wa Corona. Chanjo itakuwa ya hiyari

#COVID19 Rais Samia: Tanzania kuna wagonjwa zaidi ya 100 wa Corona. Chanjo itakuwa ya hiyari

Sababu zilizotolewa ni dhaifu sana tukichukulia zinatolewa na Mkuu wa nchi yaani Rais wa JMT. Ni sababu dhaifu sana. Katao sababu gani za kushawishi umma uamini hapo mwanzo tulikosea. Wimbi la kwanza anakubali corona haikuwa na madhara makubwa. Kama ndio hivyo kwa nini njia zilizotumika katika wimbi la kwanza zisiendelee kutumika tunahamia kwenye chanjo ambayo hatujui kwa uhakika ni ipi tuitumie?

Wafanyabiashara wamesha chanjwa huko nje ya nchi wanaendelea
na shughulia zao. Hii ndio sababu inaweza kutolewa na Mkuu wa nchi?! Jamani sasa kama wamechanjwa ndio iweje?
Mkuu .....

Lakini usisahau kuwa TULIPIGANA KIIMANI ZAIDI dhidi ya UVIKO....

Hayati JPM alitushajiisha moyo mkuu wa kupambana na UVIKO kiimani sana.... Japo hesabu zake zilikuwa zinawiana na SAYANSI pia kuwa TUKIPAMBANA nao...UKITUPIGA utaifanya MIILI YETU itengeneze KINGA dhidi ya UVIKO....

Labda wataalamu wetu wameona pamoja na miili KUTENGENEZA kinga hiyo ila kumetokea MADHARA MAKUBWA (idadi ya walioathirika vibaya sana)......

Kwa hiyo wataalamu wameonelea TUPAMBANE NA UVIKO kwa kuchoma CHANJO ambayo itasaidiana na YALE MAPAMBANO aliyoasisi hayati JPM......

Mkuu usisahau kuwa Kuna kitu kinaitwa TOUGH DECISION MAKING....ambayo ni sawa na "weighing scale"......

Mkuu bado huwezi kujitenga na DUNIA.....mama amesema kuwa TUENDELEE NA KILA AINA YA MBINU ZA MAPAMBANO DHIDI YA UVIKO na chanjo ikiwemo ndani yake....ubaya uko wapi ?!!!!

KINGA NI BORA KULIKO TIBA!!!
 
Kama hadi sasa bado watu hawaoni umuhimu wa kuchukua tahadhari dhidi ya corona ndio mnategemea kuwa zikija chanjo wataona umuhimu wa kuchanjwa hadi kufikia malengo au ndio tutaendelea kusema tu chanjo ni hiari?
 
Kumuhusisha Mungu kwenye haya masuala ndio hupelekea kuonekana vituko kwa akina Kiranga, kuna waovu wangapi huku uraiani wapo hawajafa au Mungu kawashindwa kufanya kama alivyofanya kwa Magufuli?
Huyu alifanya maovu kwa mamilioni. Mungu hapendi!
 
Rais amezungumza ukweli mchungu

Wenzangu na mie ambao tulizoea kutouona umuhimu wa kupata taarifa sahihi za ugonjwa huu hapo awali nadhani sasa ni wakati wa kubadilika na kuukabili huu ugonjwa kitaalam na kiuhakika
Wagonjwa zaidi ya 70 wako kwenye oxygen!
 
Unafikiri atakaekuwa ana hukumu ni Lisu au amsterdam?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lissu achana naye ni mpango wa Mungu.

Risasi 1 tu inatosha kuua mtu (hata 2).
Lissu alipigwa risasi 16 but yu hai hadi leo. Mungu alimuweka hai ili ashuhudie waliompiga risasi wanavyokufa kifo cha mateso na fedheha kubwa.

Mungu ni fundi.
 
Kwanini wanakukopesha pesa halafu wanakuuzia bidhaa(chanjo) za kwao?

Sawa sawa uchukue mkopo CRDB halafu wakuuzie bidhaa zao wakikishe hadi senti ya mwisho umemaliza kwao.

Kwanini chanjo wasitoe kama RUZUKU(grants) kwa nchi masikini?
Kwani wao hela wanaokota?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nilionya kuhusu wazungu wanaokuja kujifanya wanaeneza injili kwamba wataleta corona watu mlinibeza kwamba mimi ni shetani,haya yako wapi?? Endeleeni kuchapa injili.
 
Huyu alifanya maovu kwa mamilioni. Mungu hapendi!
Hata ingekuwa kwa mabilioni, kifo kingekuwa kwa waovu basi mitume wa Mungu wangekuwa hai hadi leo ila nao wamekufa tena wengine kwa kuuliwa kabisa, hicho kifo cha Magufuli kina kina alama gani ya kuonesha ni machukizo ya Mungu?
 
Lissu achana naye ni mpango wa Mungu.

Risasi 1 tu inatosha kuua mtu (hata 2).
Lissu alipigwa risasi 16 but yu hai hadi leo. Mungu alimuweka hai ili ashuhudie waliompiga risasi wanavyokufa kifo cha mateso na fedheha kubwa.

Mungu ni fundi.
Mwisho wa siku kila mtu atakufa ila si kila mtu atapata ulemavu wa kudumu, nyie mnasifu Mungu fundi ila mshafikira Lissu ameathirika kiasi gani kimwili na kiakili?
 
Rais Samia amesema wafanyabiashara wengi wa Kitanzania wameshachanja chanjo ya Corona wengine Dubai, SA na Nairobi.

Rais amesema baraza la mawaziri limekaa na kuamua tukubaliane na chanjo na iwe ni hiyari.

Serikali imeshatenga usd 470 milioni kukabiliana na covid 19.

Nawasalimu kwa jina la JMT.



---
Kuna wanaoona hatuko serious ktk mapambano dhidi ya #COVID19. Nilipoingia madarakani nilitamani tupambane na ugonjwa huu kama wanavyofanya mataifa mengine. Tanzania tuna wagonjwa zaidi ya 100 wenye #coronavirus #wave3, kati yao Wagonjwa 70 naa, wapo kwenye mitungi na wengine matibabu ya kawaida.

Tumeamua tukubali chanjo kwa walio tayari.

Tanzania tumeingia kwenye #COVAX community. Wataalamu wetu wanafanyia kazi Chanjo ipi inafaa kwa Watanzania. Kuna mashirika mengi wamejitokeza kutaka kusaidia Watanzania lakini lazima wataalamu wetu ndio watoe ushauri kitaalamu.

Sisi kama Serikali tunahimiza yale yanayoshauriwa na wataalamu; kama unaamini kwenye kupiga nyungu - wewe piga. Kila mmoja atekeleze wajibu wake. Jikingeni sana na wakingeni watoto.

Mkuu johnthebaptist ,naomba ufafanuzi wa hapo chini.
"Serikali imeshatenga usd 470 milioni kukabiliana na covid 19."
 
Hili jambo Kwa namna ambavyo watanzania wamelipokea Toka awali itakua vigumu sana kuwabadili mawazo.
 
Mwisho wa siku kila mtu atakufa ila si kila mtu atapata ulemavu wa kudumu, nyie mnasifu Mungu fundi ila mshafikira Lissu ameathirika kiasi gani kimwili na kiakili?
Akili ya Lissu = akili ya Kabudi x 100
 
Hata ingekuwa kwa mabilioni, kifo kingekuwa kwa waovu basi mitume wa Mungu wangekuwa hai hadi leo ila nao wamekufa tena wengine kwa kuuliwa kabisa, hicho kifo cha Magufuli kina kina alama gani ya kuonesha ni machukizo ya Mungu?
Huyu alikufa kwa fedheha kubwa hadi watu wanaficha bana!
 
Wameweka ndoano ya hela hatimaye kanasa!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ukiwa masikini ni sawa na [emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
hamna anaetaka kufa kizembe na Covid19,Kama ilivyomuua dikteta
 
Jf kuna wapumbavu wengi sana wanaomiliki smartphones. Imagine mtu atajitokeza anasema "hatutaki chanjo" wewe na nani mbwa wewe? Yaani lile jamaa likufe tena
 
Mkuu .....

Lakini usisahau kuwa TULIPIGANA KIIMANI ZAIDI dhidi ya UVIKO....

Hayati JPM alitushajiisha moyo mkuu wa kupambana na UVIKO kiimani sana.... Japo hesabu zake zilikuwa zinawiana na SAYANSI pia kuwa TUKIPAMBANA nao...UKITUPIGA utaifanya MIILI YETU itengeneze KINGA dhidi ya UVIKO....

Labda wataalamu wetu wameona pamoja na miili KUTENGENEZA kinga hiyo ila kumetokea MADHARA MAKUBWA (idadi ya walioathirika vibaya sana)......

Kwa hiyo wataalamu wameonelea TUPAMBANE NA UVIKO kwa kuchoma CHANJO ambayo itasaidiana na YALE MAPAMBANO aliyoasisi hayati JPM......

Mkuu usisahau kuwa Kuna kitu kinaitwa TOUGH DECISION MAKING....ambayo ni sawa na "weighing scale"......

Mkuu bado huwezi kujitenga na DUNIA.....mama amesema kuwa TUENDELEE NA KILA AINA YA MBINU ZA MAPAMBANO DHIDI YA UVIKO na chanjo ikiwemo ndani yake....ubaya uko wapi ?!!!!

KINGA NI BORA KULIKO TIBA!!!

Mbinu zilizo tumiwa wimbi la kwanza zikiimarishwa kuna sababu ya kuagiza chanjo na kutoa matamko kama vile tunaenda kuchanjwa wote. Ama ni hizo USD 400M zinafanya wanao tuongoza wajitoe ufahamu na akili?

Hata hao wataalamu kama vile wanatoa matakwa ya aliye watuma na marajeo yake. Hamna kitu kama utaalamu huria hapo.
 
Back
Top Bottom