Wewe umewekewa ndoano ya umaskini na umenasa,tukufananishe na simba au nyau.Wameweka ndoano ya hela hatimaye kanasa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa masikini ni sawa na [emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
Wameweka ndoano ya hela hatimaye kanasa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa masikini ni sawa na [emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
Ni vizuri kama wameanza kuweka idadi ya wagonjwaRais Samia amesema wafanyabiashara wengi wa Kitanzania wameshachanja chanjo ya Corona wengine Dubai, SA na Nairobi.
Rais amesema baraza la mawaziri limekaa na kuamua tukubaliane na chanjo na iwe ni hiyari..
ana kiherehere kama mbuzi wa stendi.Umeandika nini? Tulia tuletee habari kamili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mada inaongea mengine wewe unakazania tu kumtaja marehemu Magufuli ili mradi tu mimba yake aliyokuachia ijisikie vizuriNa wala sio 100 tu, ni zaidi ya hao!
Magufuli alikua analiangamiza hili taifa.. Mungu ni fundi.
Kwani anaumwa?Sijui Kigwangala atakuwa na hali gani
Wafanyabiashara wameshachanja Dubai!ana kiherehere kama mbuzi wa stendi.
Kufa basi umfuate baba akoWameweka ndoano ya hela hatimaye kanasa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa masikini ni sawa na [emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
CCM ilikuwa inaenda kufa kama think tank wa marehemu mlikuwa nyieMimi sichanji ila ntakuwa nawashika bavicha matakle ili chanjo ipenye vizuri zaidi
Mbona nmeona kwenye kombe la UEFA raia wanakusanyika bila barakoa wala distancing?Mimi nina mwezi na nusu tangu nichanje full. Naendelea kuvaa barakoa kwani najua chanjo si kinga asilimia 100. Ila ukichukua chanjo ukajumlisha barakoa, distancing , kujisanitize au kunawa unakaribia kabisa kujikinga kwa asilimia 100.
Dunia ina lengo la kuukomesha ugonjwa huu. Katika lengo hilo ndipo zinakuja hatua mbalimbali ikiwemo kutoa fedha ili kuziwezesha nchi masikini ( Afrika) . Hata Ulaya zipo nchi zimewezeshwa kifedha ili kupigana na covid 19.
Wanaoona hizi fedha ni mtego ni wivu wao tu unawasumbua. Mbona hapo awali hawakusema ni mtego au kwavile zilichukuliwa kimyakimya zikawekwa mifukoni mwa miungu yao!
Mama endelea kuupiga mwingi. Unafanya kazi inayoonekana , siyo blabla tulizokuwa tunaimbiwa na wale watesaji.
Hizo takwimu za wagonjwa kwanini zisiwe zinatolewa kwa public?
Rais anajitahidi sana kuendana na kile WHO wanataka, ningependa atuambie hao wagonjwa wamelazwa hospitali zipi? familia zao wameziweka karantini? na mikoa ipi inaongoza kwa maambukizi.
This is a wake up call, tuamke, ile likizo ya Corona imeisha, now kirusi kipo mjini.
Mimi nina mwezi na nusu tangu nichanje full. Naendelea kuvaa barakoa kwani najua chanjo si kinga asilimia 100. Ila ukichukua chanjo ukajumlisha barakoa, distancing , kujisanitize au kunawa unakaribia kabisa kujikinga kwa asilimia 100.
Dunia ina lengo la kuukomesha ugonjwa huu. Katika lengo hilo ndipo zinakuja hatua mbalimbali ikiwemo kutoa fedha ili kuziwezesha nchi masikini ( Afrika) . Hata Ulaya zipo nchi zimewezeshwa kifedha ili kupigana na covid 19.
Wanaoona hizi fedha ni mtego ni wivu wao tu unawasumbua. Mbona hapo awali hawakusema ni mtego au kwavile zilichukuliwa kimyakimya zikawekwa mifukoni mwa miungu yao!
Mama endelea kuupiga mwingi. Unafanya kazi inayoonekana , siyo blabla tulizokuwa tunaimbiwa na wale watesaji.
Umepanic?Kufa basi umfuate baba ako
Yeah right.Wewe ni mtoto mdogo haya mambo kuyaelewa ni ngumu!
Ukiwa maikini hata mawazo yako na mambo yako lazima yawe ya kimasikini
Tumeshaingia huku? Daah!Rais Samia amesema wafanyabiashara wengi wa Kitanzania wameshachanja chanjo ya Corona wengine Dubai, SA na Nairobi.
Rais amesema baraza la mawaziri limekaa na kuamua tukubaliane na chanjo na iwe ni hiyari.
Serikali imeshatenga usd 470 milioni kukabiliana na covid 19.
Nawasalimu kwa jina la JMT.
---
Kuna wanaoona hatuko serious ktk mapambano dhidi ya #COVID19. Nilipoingia madarakani nilitamani tupambane na ugonjwa huu kama wanavyofanya mataifa mengine. Tanzania tuna wagonjwa zaidi ya 100 wenye #coronavirus #wave3, kati yao Wagonjwa 70 naa, wapo kwenye mitungi na wengine matibabu ya kawaida.
Tumeamua tukubali chanjo kwa walio tayari.
Tanzania tumeingia kwenye #COVAX community. Wataalamu wetu wanafanyia kazi Chanjo ipi inafaa kwa Watanzania. Kuna mashirika mengi wamejitokeza kutaka kusaidia Watanzania lakini lazima wataalamu wetu ndio watoe ushauri kitaalamu.
Sisi kama Serikali tunahimiza yale yanayoshauriwa na wataalamu; kama unaamini kwenye kupiga nyungu - wewe piga. Kila mmoja atekeleze wajibu wake. Jikingeni sana na wakingeni watoto.
Magufuli kafa. Kwishnei.Unakoelekea utashindwa kusimamisha usingizie Magufuli,hamuwezi kumwacha akapumzika?
Mikoa ya kaskazini ni majanga. Yaani ni majanga.Hizo takwimu za wagonjwa kwanini zisiwe zinatolewa kwa public?
Rais anajitahidi sana kuendana na kile WHO wanataka, ningependa atuambie hao wagonjwa wamelazwa hospitali zipi? familia zao wameziweka karantini? na mikoa ipi inaongoza kwa maambukizi.
This is a wake up call, tuamke, ile likizo ya Corona imeisha, now kirusi kipo mjini.