Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

Tanga kuchere,ameishaijua wizara nyeti nchini ,Sasa anasogezwa kuanza kuzijua Kuta tawala za kimataifa ,nchi hii ngumu
 
Huyo anaandaliwa kuja kuwa mkali kama Magufuli
 
Kwa akili yako ameshushwa au amepandishwa! Naamini nafasi aliyopewa ni kubwa zaidi, na anafaa, kwenye nishati alifiti pia, acha wivu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…