Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

Leo kamtumbua msukuma wa madini kamweka mavunde
 
'Msoga' wanamkuza ili aje awe mgombea 2030!
Hivi kwa akili gani alizo nazo hadi aongoze Taifa?
Kwanini tunafanya majaribio ya watu ambao akili ni finyu na ndogo?
Kwanza kwenye maadili sio mzuri kabisa!
'Msoga' umetukosea sana Tz tunaomba sasa achana na haya mambo!
 
Alafu nape anamuacha
 
Inahusu nini?

January kishafanya Reforms na kwa marwnya kwanza tanesco inajiendesha "profeseionally". Kaiwekea mifumo mizuri kabisa.

Sasa anakwenda ku implement kwengine.

Hizo ndiyo Reforms and Rebuilding.

Ulitaka iweje?
 
Inahusu nini?

January kishafanya Reforms na kwa marwnya kwanza tanesco inajiendesha "profeseionally". Kaiwekea mifumo mizuri kabisa.

Sasa anakwenda ku implement kwengine.

Hizo ndiyo Reforms and Rebuilding.

Ulitaka iweje?
Unaweza ukaitaja hiyo mifumo?
 
VP kuhusu lameck
 
Inahusu nini?

January kishafanya Reforms na kwa marwnya kwanza tanesco inajiendesha "profeseionally". Kaiwekea mifumo mizuri kabisa.

Sasa anakwenda ku implement kwengine.

Hizo ndiyo Reforms and Rebuilding.

Ulitaka iweje?
Kweli kabisa kafanya reforms nzuri na sasa tuna mgao wa umeme zaidi ya masaa 24.Kudos kwake
 
Haya Sasa ni majungu na wivu,Makamba amefanya kazi nzuri pale Nishati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…