Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkapa na Kikwete wote walikuwa Mawaziri wa Mambo ya Nje na wakaja kuwa Marais wa TzNani aliyewahi kupewa hiyo wizara na akafanikiwa kuwa rais?
Leo kamtumbua msukuma wa madini kamweka mavundeRais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
unamaanisha JPMUngejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
Mkapa na Kikweteunamaanisha JPM
Alafu nape anamuachaRais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
JPM amekuwa Rais wa JMT na hakuwahi kuongoza hiyo Wizara ya Mambo ya nnje,Membe ameshika wizara ya mambo ya Nnje tena kwa miaka 10 na hakufanikiwa kuwa Rais mpaka umauti unamkuta.Kiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
J Makamba Ameondoka bila kukamilisha chochote, vijiji elf 2 vimeshindwa kukamilika umeme , mgao ni wa umeme wa kutisha kwa sasa.yaani umejifcha nyumbani kwako na Tecno unapost unasema tulikuonya rais wewe na nani labda na familia yako urais ni taasisi siyo mtu mmoja.
Inahusu nini?Rais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Africa upatikanaji wa viongozi usimshirikishe MUNGU tafadhali..Hata hayati Membe alipewa Wizara hiyo, kama Mungu hajakuandikia huwezi kuwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikwete na huyo makamba ndie aliekua muaandaji wa uandishi ktk hotuba zake.Nani aliyewahi kupewa hiyo wizara na akafanikiwa kuwa rais?
Je influence itakuwa bado ipo au umri unaweza pelekea remote isiwe na ufanisi mzuri wa kucontrol mambo.2030 Rais ni Makamba Jr. Labda rimoti ya Msoga isiwepo
Unaweza ukaitaja hiyo mifumo?Inahusu nini?
January kishafanya Reforms na kwa marwnya kwanza tanesco inajiendesha "profeseionally". Kaiwekea mifumo mizuri kabisa.
Sasa anakwenda ku implement kwengine.
Hizo ndiyo Reforms and Rebuilding.
Ulitaka iweje?
VP kuhusu lameckRais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Kweli kabisa kafanya reforms nzuri na sasa tuna mgao wa umeme zaidi ya masaa 24.Kudos kwakeInahusu nini?
January kishafanya Reforms na kwa marwnya kwanza tanesco inajiendesha "profeseionally". Kaiwekea mifumo mizuri kabisa.
Sasa anakwenda ku implement kwengine.
Hizo ndiyo Reforms and Rebuilding.
Ulitaka iweje?
Haya Sasa ni majungu na wivu,Makamba amefanya kazi nzuri pale NishatiRais Samia ulionywa sana kuhusu huyu mtu mtafuta madili ya kujaza tumbo lake badala ya kuhudumia wananchi, kiko wapi sasa?
Hamna alichokamilisha hata kimoja zaidi ya ngonjera tu za hapa na pale, umeme vijijini haujakamilika hadi leo, ameacha mgao wa kutisha wa umeme kila kona, huku akisaini mikataba ya mabilioni ya pesa na wawekezaji hewa kutoka nje.
Piga hata simu utaiona tofauti kama uliwahi kupiga simu tanesco hapo zamani, kabla yake.Unaweza ukaitaja hiyo mifumo?