Rais Samia tulikuonya kuhusu January Makamba

Kumbuka msajili wa hazina sasa amesema ni moja ya shirika linaloendeshwa kwa faida kwa sasa na linachangia hisa serikalini
Lilianza kujiendesha kwa faida tangu 2018 baada ya Magufuli kuzima mitambo ya symbion
 
Aibu naona mimi..
 
January ndio Rais ajaye jamaa ni mtulivu sana, kuwa mpole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…