Rais Samia: Tumerudisha nyongeza ya mishahara ya mwaka kwa Wafanyakazi
Kuna yule mzee mmoja maarufu aliwahi kusema: "mshahara ni pesa ya kula tu"


JESUS IS LORD.
 
Utaratibu huu ulikuwepo zamani lakini ukasitishwa kwa muda. Sasa Rais Samia leo akiwa Mei Mosi mkoani Morogoro amesema Serikali yake imeurudisha utaratibu huo na kuanzia sasa kila mwaka Wafanyakazi wataongezewa mishahara. Rais Samia anazidi kufanya makubwa kwa Wafanyakazi.

"Kuna nyongeza za mishahara za kila mwaka ambazo zilisitishwa kwa muda, nikaona mwaka huu nizirudishe, nyongeza hizo za kila mwaka zitaanza mwaka huu na zitaendelea kila mwaka"- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan akiwa Morogoro leo Mei Mosi kwenye siku ya wafanyakazi Duniani.
Pigo kubwa kwa walinda legacy!!
 
Wafanyakazi wanatumia pesa ngapi kutoka kwenye mishahara yao hiyo hiyo kufanya kazi za serikali????


Ni zaidi ya hizo.

Unamtoa mtu Lindi, unmwajiri Kigoma, hakuna nyumba za umma, anapanga Tena kwa Mshahara wake huo huo.

Kwahiyo Mshahara huo huo:

  • Ulipe nyumba
  • Ufanyie kazi za serikali
  • Ulipe Michango eg Mwenge [emoji1787]
  • Utapeliwe ( Matapeli wanaoshirikiana na Maafisa utumishi)

Hujui kuwa huo mshahara wameu consolidate? Maana yake house and transport allowances humo humo huzioni , zamani walikuwa wanaonyesha kwenye slip.
Michango wa mwenge ni hiari hakuna mfanyakazi anaelazimishwa atoa.
 
Hujui kuwa huo mshahara wameu consolidate?

Kwahiyo, mishahara ya wabungr, waasiasa, wafanyakazi wa mashirika yenyewe haina haha ya kuwa consolidated.

Ila Mshahara wa mfanyakazi Halmashauri, ndio unatakiwa kuwa consolidated.

Haya salary slip hiyo hapo chini, nambie upi ni MSHAHARA, ipi ni TRANSPORT ALLOWANCE na ipi ni HOUSE ALLOWANCE??
Maana yake house and transport allowances humo humo huzioni , zamani walikuwa wanaonyesha kwenye slip.
Kwahiyo Kama zamani walikuwa wanaonesha, kilichomfanya waache kuonesha ni Nini?
Michango wa mwenge ni hiari hakuna mfanyakazi anaelazimishwa atoa.
Michango ya mwenge ni hiari, haipo kisheria.

Ila ukiandikiwa barua ya VITISHO kutoka kwa Mwajiri wako, utoe mchango.

Na majina ya wote waliochanga yapelekwe kwake.

HAKUNA uhiari Tena hapo.

Hususani unapotishiwa na mtu anayrtakiwa kuhakikisha unapata haki zako.
 

Attachments

  • FB_IMG_16705560437762540.jpg
    FB_IMG_16705560437762540.jpg
    24 KB · Views: 14
Pigo kubwa kwa walinda legacy!!
Tunapo sema yule jiwe alikuwa nduli wa taifa muwe unaelewa. Huu utaratibu ulikuwepo kisheria kila mwaka wafanyakazi kuongezewa fedha kukidhi hali ya maisha. Lakini Magufuli kwa ubinafsi na ukatili kwa kuwa yeye anakula kulala bure usafiri bure akazuia kupanda mishahara na hata ile nyongeza kwa mwaka ambayo ipo kisheria.
Jamaa alikuwa na roho mbaya halafu ana wivu wa kimaskini kupambna na matajiri. Alitaka kila mtu amnyenyekee yeye kujiona kama Mungu lakini Apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Ni Biblia inasema sio mimi.
 
Hakuna specific kiasi kuna rate ambayo ni 5% of basic salary kwa walio perform vizuri sana 3% kwa walio perform vizuri na 0% kwa walio perform wastani.
Wewe jamaa unajua kweli mifumo ya Serikali ilivyo au unasimuliwa tu na wewe?

Kwa Tanzania, walio perform vizuri sana, wastani au vizuri wanajulikanaje??
 
Unaonesha hata haujasoma kilichoandikwa.

Ikiwa kusoma huwezi basi hata kusikia pia huwezi?
Kwakua hujapenda kusikia niyasemayo unahisi sikuelewa. Kilichofanyika siyo cha kuimbiwa ngonjera na mapambio humu.
 
Sijui umeanza kazi lini. Though ilikua around 20000 hadi 40000, lakini haikua kila mwaka. Hapo inapaswa ulijue hili haikuwa kila mwaka, sio kweli kwamba 2006,07,08,09,10,11,12,13,14,15 ilikua inaongezeka.
From 2016 kilikuwa kinaongezeka nn mpaka Samia anchukua uongozi?
 
Kwakua hujapenda kusikia niyasemayo unahisi sikuelewa. Kilichofanyika siyo cha kuimbiwa ngonjera na mapambio humu.
Wewe huna kazi nini? Wafanyakazi wote wamefurahi leo kwa kuongezwa mishahara, wewe unahororoja bila mpango.
 
Back
Top Bottom