Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hawajitambui na ndiyo masikini wa kutupwaNawaonea huruma sana aisee.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajitambui na ndiyo masikini wa kutupwaNawaonea huruma sana aisee.....
Usinilazimishe kukubali ugoro wako.
Miradi yote ya awamu ya 5 ndiyo imeonekana awamu ya 6
Hivyo vyote vipo,kilimo kinahitaji ruzuku na umwagiliaji,unapata wapi fedha hizo?Bandari Gess Tanzanite Zahabu Armasi Mito Maziwa Mbuga Bahari Kilimanjaro Kilimo hivyo vyote hauvioni umeona tozo na kukopa Umasikini wa fikra mbaya sana sijui nani alituroga wa tanzania
Nafanya Sana miamala,naumia napokatwa Ila naelewa hitajio lakeTozo zinafurahiwa na watu wasiyo na matumizi ya miamala kama wewe.
Maana wewe unashukuru unapofungua mlango na kufunga.
Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"
_______________________________________________
Magufuli anabiringika kaburini...
Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri... na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi...
Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia...
Mpaka stendi tunaomba hela?
Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela ?
Nimesikitika kupita maelezo.... tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo...
Hivyo vyote vipo,kilimo kinahitaji ruzuku na umwagiliaji,unapata wapi fedha hizo?
Weka wewe hicho kitu tuoneccm inategemea watu wenye mkao wa akili kama nyie kuendelea kubaki madarakani, yani bado huoni kitu nje ya tozo na kukopa?
Umeonaeeeee?Walichofanya ni kuamisha miladi aliyofanya jk wakampa jiwe kama walivyofanya kwenye mabokx ya kura
Tangu muanze kukopa miaka yote mbona hatuoni matokeo chanya?Hivyo vyote vipo,kilimo kinahitaji ruzuku na umwagiliaji,unapata wapi fedha hizo?
Hapo ndiyo tofauti inajionyesha kati ya wana uvccm na wale wasiyo na uccm ccm.Umeshaanza kugeuka sasa, sifa ni ya waziri au Rais?
Akili zako zimepigwa daflao na chakubangaNafanya Sana miamala,naumia napokatwa Ila naelewa hitajio lake
Ile soko jiwe aliamua kulijenga tu ili kulitangaza jina la Ndugayi kiutemi tu bila kuzingatia matokeo chanyaHivi nani alituambia stendi na masoko ndiyo vinakuza uchumi? Afadhali basi hayo masoko mapya yangetumika. Pale Dodoma kuna soko la Ndugai ni 100% underutilised- wamelifanya stendi ya daladala. Soko basically ni shade na iwe na nafasi za kupita za kutosha, iwe na mfumo mzuri wa kukusanya na ku- disposeoff waste generated na mfumo mzuri wa barabara , sasa soko la ndugai limejengwa kama hoteli ya kitalii na wafanyabiashara naturally wameona halifai. Magomeni napo kosa hilo hilo. Mtendeni kuna watu lakini si kama lile la awali. Stendi zote kubwa ni underutilised- Mbezi Mwisho, Iringa, Dodoma na nyinginezo. Sijui nani alitushauri kwamba magorofa ndiyo njia ya kusaidia wananchi
Itakua umri wako mdogo,miaka ya 90 ukienda mashuleni,palikua panaegeshwa baiskeli tu,lakini siku hizi ni magari,ukiwa na redio caseti ulionekana umepiga hatua,siku hizo TV,kompyuta ni kitu Cha kawaida,ndiyo tuna shida,Ila miaka 24 ya mwanzo wa Uhuru iliturudisha nyuma,so tulianza mosi awamu ya 2Tangu muanze kukopa miaka yote mbona hatuoni matokeo chanya?
Bila kuwa na watu wa aina ya huyo ccm leo hii isingekuwepo hapa Tanzania.ccm inategemea watu wenye mkao wa akili kama nyie kuendelea kubaki madarakani, yani bado huoni kitu nje ya tozo na kukopa?
Chakubanga maana yake nn??...nachokumbuka ni chakubanga kumpiga mkoloniAkili zako zimepigwa daflao na chakubanga
Wewe ndiye wakala wa mazuzu.Itakua umri wako mdogo,miaka ya 90 ukienda mashuleni,palikua panaegeshwa baiskeli tu,lakini siku hizi ni magari,ukiwa na redio caseti ulionekana umepiga hatua,siku hizo TV,kompyuta ni kitu Cha kawaida,ndiyo tuna shida,Ila miaka 24 ya mwanzo wa Uhuru iliturudisha nyuma,so tulianza mosi awamu ya 2
Kama humjui basi poleChakubanga maana yake nn??...nachokumbuka ni chakubanga kumpiga mkoloni
Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"
_______________________________________________
Magufuli anabiringika kaburini...
Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri... na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi...
Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia...
Mpaka stendi tunaomba hela?
Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela ?
Nimesikitika kupita maelezo.... tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo...
Ccm itaendelea kutawala kwa kuwa ndiyo chama pekee kinachounganisha nchi kwa misingi ya visiwani na bara,dini..tofauti na vyama vingine ambavyo Aisha having uungwaji mkono pande mbili za muungano,na vinaungwa mkono kwa misingi ya dini na kabilaBila kuwa na watu wa aina ya huyo ccm leo hii isingekuwepo hapa Tanzania.