Miaka ya 90,tulipewa Msaada wa mahindi ya njano kutoka USA! Tukayala Sana! Kelele zilipigwa nyingi Sana, eti watoto watakufa, Leo Sisi ndio madingi,na wengine tuna wajukuu! Kama huo mchele upo, kwanini haushuki bei sokoni!?
Swala la kusema wangechukua mchele wetu wakatia virutubisho, ndio wakatuuzia!? Ni akili ya kijinga!
Pesa wanatoa wao, lazima wanunue kwa wakulima wao! Ni akili ndogo tu!
Mbona wa china wakitupa msaada wa kujenga flyover, huwa hatuwaambii watupe pesa, harafu mkandarasi tuchague wenye we!?
Wanatupa mkopo, mkandsrasi wanachagua wenyewekutoka china, na lazima mkopo upitie benk zao!
Hili swala la mchele limethibitisha ukilaza wa namba moja pale magogoni na machawa mawaziri wake