Rais Samia, tusifukie Mahindi na Maharage ya Marekani, naomba tuyapeleke Haiti

Rais Samia, tusifukie Mahindi na Maharage ya Marekani, naomba tuyapeleke Haiti

Hivi unga wa ngano unaozalishwa nchini mfano ule wa MeTL ambao umeandikwa kabisa kuongezewa virutubisho.

Hivyo virutubisho wangapi mnavijua? Na je amevitengeneza MeTL mwenyewe au kanunua nje tu kwa haohao.

Bashe tushaijua rangi yake kwenye sukari si ajabu anasukumwa na issue ileile ya dini kupinga hili jambo.

Taasis za kupima ubora si zipo? Toka lini mmeanza kupangia watoa misaada pa kununulia misaada hiyo?
TBS walishasema huo mpunga ni salama, bashe alilopoka tu kwa kutumia hisia na kuzua taharuki kama mwendazake alivo kua anaropoka kwenye corona.

By the way. Kitu mmpewa bure, mnaanza kuleta masharti tena. Kama hamtaki kataeni huo mzigo urudi USA
 
Hivi unga wa ngano unaozalishwa nchini mfano ule wa MeTL ambao umeandikwa kabisa kuongezewa virutubisho.

Hivyo virutubisho wangapi mnavijua? Na je amevitengeneza MeTL mwenyewe au kanunua nje tu kwa haohao.

Bashe tushaijua rangi yake kwenye sukari si ajabu anasukumwa na issue ileile ya dini kupinga hili jambo.

Taasis za kupima ubora si zipo? Toka lini mmeanza kupangia watoa misaada pa kununulia misaada hiyo?
Vinapitishwa TBS kabla ya kupewa kibari.
 
Ivi ni kiambata gani kinaweza weka kwenye mahindi mtu awe shoga kwanni wasiweke kwenye chanjo na madawa au bidhaa zingine tu mbona wasiweke kwenye mitumba ya nguo na viatu.
Ivi kweli Tanzania na mamlaka zote zineshidwa kuwa na tamko rasmi kwamba baada ya kufanywa uchunguzi kwenye mchele tumekuta viambata visivyo salama.
 
Back
Top Bottom