Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Ndio nami nimemuuliza ni mapendekezo yake au ya bashe/rais!Uandishi ni kazi sana,yani kwa namna ulivyoandika hii habari haijulikani either ni maneno ameyasema SAMIA,Bashe au ni ushauri wako katika hilo swala.
Njaa ipo mpaka marekani huko walipotuletea huu msaada wa mchele mkuuMbona Watanzania wenyewe Wana njaa?
Tembeeni mjionee ufukara wa kutisha Tanzania.
Hakuna kitu kinaitwa msaada wewe fungua ubongo huoMarekani hajaanza leo kutoa misaada humu Nchini na Duniani !
Sisi tulishakula uji wa Burgoo tukiwa Shuleni enzi zile na pia tulikula unga wa Yanga sana tu enzi zile. !!
Wazungu wakitaka kutudhuru zipo njia nyingi za siri wanaweza kuzitumia sio kwenye Chakula !!
Wenzetu sio mazuzu kiasi hicho !
Watu wanaogopa biashara zao zitabuma. [emoji120][emoji120]
How?[emoji28][emoji28] Rais wa zari la mentali na uwezo mdogo wa kufikiri
Hata kama ingekuwa ni kweli,siku zote mwambaji hatakiwi kuchagua.Miaka ya 90,tulipewa Msaada wa mahindi ya njano kutoka USA! Tukayala Sana! Kelele zilipigwa nyingi Sana, eti watoto watakufa, Leo Sisi ndio madingi,na wengine tuna wajukuu! Kama huo mchele upo, kwanini haushuki bei sokoni!?
Swala la kusema wangechukua mchele wetu wakatia virutubisho, ndio wakatuuzia!? Ni akili ya kijinga!
Pesa wanatoa wao, lazima wanunue kwa wakulima wao! Ni akili ndogo tu!
Mbona wa china wakitupa msaada wa kujenga flyover, huwa hatuwaambii watupe pesa, harafu mkandarasi tuchague wenye we!?
Wanatupa mkopo, mkandsrasi wanachagua wenyewekutoka china, na lazima mkopo upitie benk zao!
Hili swala la mchele limethibitisha ukilaza wa namba moja pale magogoni na machawa mawaziri wake
Marekani hajaanza leo kutoa misaada ya vyakula hapa na Duniani. !Huo msosi kuumwaga hiyo ni kufuru na jeuri ya masikini. Umepewa msaada upokee kwa moyo wa shukrani, habari ya kuula au kutoula utajua mwenyewe, lakini mwenye kutoa msaada afurahie msaada wake kupokelewa.
Haiti Ni mbali Sana ndege yetu itatumia mafuta mengi,tuwapelekee Sudan kusini na Congo pia.ndege yetu ikipiga round moja tu nshaaaaaaaa isharudi tunaikosha tunaipaki kivulini.Kuna Mahindi ambayo Marekani imetoa msaada kwa Tanzania.
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kawa na wasiwasi nayo. Amedai yamewekewa Virutubisho ambavyo havijulikani.
Pia Waziri kasema Tanzania tuna Mahindi mengi hayana Soko, hivyo wangetumia mahindi yetu na kuweka Virutubisho Watanzania wakiwa wanaona.
Mimi napendekeza, kuliko kuyamwaga, Tuchukue hayo Mahindi, Mafuta ya Alizeti na Maharage waloleta, tupakie kwenye ile ndege ya mizigoo ya ATCL tuwape msaada Wananchi wa Haiti wanaokufa Njaa.
Inasikitisha sana lakini ni lazima tuchukue huo msaada na tuutumie kwa sababu watu wana hali ngumu za maisha !Hata kama ingekuwa ni kweli,siku zote mwambaji hatakiwi kuchagua.
Inasikitisha sana kwa population ya 61M na ardhi ya sq.945K ambayo 3/4 ni arable land kuchukua mahindi na Mchele wa msaada.
Kweli kabisa !Haiti Ni mbali Sana ndege yetu itatumia mafuta mengi,tuwapelekee Sudan kusini na Congo pia.ndege yetu ikipiga round moja tu nshaaaaaaaa isharudi tunaikosha tunaipaki kivulini.
Sio msaada ni malipo ya ziada ya madini yetu ya dhahabu ambayo walipewaga kuyachimba kwa bei Cheee na wajanja miaka mingi iliyopita!Hakuna kitu kinaitwa msaada wewe fungua ubongo huo
Maskini jeuriNashangaa wabongo ghafla tunajiona matajiri sijui kwanini?
Tuna kakiburi ketu flani amazing sana. Aliyeshiba mjini anamsemea mwenye njaa kijijini.
Na siku zote wakimbizi huwa wanakula vyakula vya USAID !Kuna wakimbizi hapo kigoma hawana chakula tuwapelekee. Wapewe UNHCR wawape hao wakimbizi
Watakula jeuri yao !Maskini jeuri