Rais Samia: Tuziangalie Sheria za Uchaguzi zisiwanyime haki wanaokosea kuandika majina yao

HAKUNA MAJINA YALIYOKOSEKANA ILA NECCCM ILIFANYA YAKOSEKANE

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mbona fomu za Maghufuli zilijaa makosa lakini Mahera akazipitisha kibabe na hakutaka maswali ?!.

Makosa kwa upinzani tu.
Kweli kabisa.
Mungu hadhihakiwi.
"Tumuogope Mungu ndugu zangu"
At the same time anaibu Kura za wapinzani.
Kwa Nini Mungu asikasirike.
 
Nao wapinzani wana mambo ya kipuuzi , inakuwaje Wana mgombea hawezi kuandika jina lake na la chama chake vizuri kwanini wasimsaidie kumjazia badala ya kumwacha aboronge?
NDUGU,
Kama na wewe kabisa kutoka moyoni mwako unaamini na kufurahia porojo hizo za watoto wa chekechea, basi tuna safari ndefu ya kufika kwenye FIKRA ziletazo maendeleo.
 
Hahahahah

Enzi zile zimeshakuwa tbt

Nakumbuka mgombea Uenyekiti wa Serikali ya Mtaa sehemu fulani toka vyama korofi alipingwa kwa hoja hajui kuandika, alipotakiwa athibitishe aandike akatakiwa aandike 'Zwangendaba' alipokosea herufi moja akakatwa
Kama alivyoanza Maushungi,
Nanyi mmeanza kushindana kwa 'hekaya za abunuasi', LAKINI kadiri muda unavyoenda na nafsi zinavyozidi kuwasuta, nina hakika, mtakuja TU kutueleza ukweli vizuri kabisa jinsi mlivyoiba kura. Huko ndio kuweweseka.
 
Nao wapinzani wana mambo ya kipuuzi , inakuwaje Wana mgombea hawezi kuandika jina lake na la chama chake vizuri kwanini wasimsaidie kumjazia badala ya kumwacha aboronge?
Hivi inaingia akilini kwamba kukosea jina kunasababisha mtu akose haki ya kupigiwa kura?
Ikulu yenyewe inakosea na kutoa majina katika halmashauri mbili tofauti, nayo utasemaje?
 
Samia ni hatari kwa mstakabali wa ccm. Sheria za uchaguzi zimewekwa kwa madhumuni maalum. Kama mtu hata hawezi kujaza fomu ya kuomba ugombea hafai. Na kama chama hakiwezi kuelekeza wagombea wake namna ya kujaza fomu hakifai. Samia ana hulka kujipendekeza kwa wapinzani ili kuwafurahisha wazungu. Hajui lengo lao ni hatimae kuchukua madaraka toka ccm na huku agenda zao kuikabidhi nchi kwa mabeberu.
 
Kwani ukielezwa ulivyoibiwa inakusaidia nini?
Kama alivyoanza Maushungi,
Nanyi mmeanza kushindana kwa 'hekaya za abunuasi', LAKINI kadiri muda unavyoenda na nafsi zinavyozidi kuwasuta, nina hakika, mtakuja TU kutueleza ukweli vizuri kabisa jinsi mlivyoiba kura. Huko ndio kuweweseka.
 
Anaongelea kitu hakimuhusu yeye alipigiwa kura na nani?! mpaka aongelee uchaguzi? Mimi simuelewi kabisa asubuhi nimeweka 3500 m. Pesa nikanunua luku daaaah pesa wamekata wamenipa unit 3 ?
Ukiweka tick unaweka ya rais na makamu wake
 
Sham democracy.

Kwenye demokrasia geresha ndio kuna mambo ya mapingamizi na kuengua wagombea ili kuondoa ushindani.

Sheria na kanuni zote zinazoipa tume mamlaka ya kupokea mapingamizi na kuengeua wagombea zinapaswa kufutwa kwa sababu zinakiuka msingi mzima wa demokrasia ya vyama vingi na ushindani.

Sheria inapaswa kuwa kwamba wagombea waenguliwe kama sio raia au ni whalifu tena kupitia mahakama na sio tume au kamati.
 
Ukifuatilia kesi ya ugaidi wa Mbowe mahakamani kulingana na Kingai pamoja na maamuzi mengi ya jaji dhidi ya upande wa utetezi utaelewa kuna curable errors (makosa yanayotibika kisheria) kwenye kuandaa na kujaza fomu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…