imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
CCM ndio inaendeshwa na Waarabu na Wasomali kimbilio pekee ni CHADEMAWaarabu na Wasomali ndiyo wanaendesha NCHI!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ndio inaendeshwa na Waarabu na Wasomali kimbilio pekee ni CHADEMAWaarabu na Wasomali ndiyo wanaendesha NCHI!
Umeaminishwa uongo kwa ujinga wako.Msomali ni mfanyabiashara na pia ndiye mgaidi wa kwanza duniani.
Wewe lazima Msomali au MuarabuUmeaminishwa uongo kwa ujinga wako.
Hata Mandela. Walimuita gaidi.
Ndio wanaongozwa kwa kupakiwa kwenye maroli kutoroka nchi yao kwenda S.A.80% ya Wasomali ni wakulima, 70% ya GDP yao inatokana na kilimo, ingawa kwao ni ukame na wanategemea mito miwili tu kwa kilimo nchi nzima.
Pia wapo wafugaji na wapo wavuvi.
Wako vizuri sana kwa kuchapa kazi.
Na CCM watampitisha na Kumpigia kura; -----------------my dead body!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!11Mama awe anachunga ulimi wake. Kusema kilimo mpe Msomali inaleta maswali mengi ambayo hayakuwa na sababu za msingi.
Atasikia ushauri wako? Hana breki kabisa!Mama awe ana chunga ulimi wake. Kusema kilimo mpe msomali inaleta maswali mengi ambayo hayakuwa na sababu za msingi.
Msomali ni mfugaji au mkulima!
Hapana, wae siyo Wasomali ni Wahabashi (Ethiuopia).Ndio wanaongozwa kwa kupakiwa kwenye maroli kutoroka nchi yao kwenda S.A. ....umeelewa hapo wewe ajuza muuza uchi ?
Raia wa Tanzania maana yake nini na unathibitishaje huyu ni raia wa Tanzania na huyu si raia wa Tanzania?Rejea comments no. 4 na no.8 za huu uzi .
Lakini pia ukiitazama sura ya Bashe ni tofauti na sura za kisukuma , ana fanana sana na sura za wasomalia .
Imani ya kisomali ni kuwa mzalendo kwa nchi ya somalia .
Aisee!!!Keshamwingizia mahela kibao kwenye tukio la sukari, lazima amwagie sifa
Akikujibu nistuwe.Raia wa Tanzania maana yake nini na unathibitishaje huyu ni raia wa Tanzania na huyu si raia wa...
Maccm ni majizi makubwa sana!CCM ndio inaendeshwa na Waarabu na Wasomali kimbilio pekee ni CHADEMA
Mkuu Kiranga kuna wakati ukimsikiliza Rais unapatwa na hasira sana.Rais anatakiwa kusema maneno ya kujenga umoja wa kitaifa, si kuchochea ukabila. Rais anatakiwa kusifia uwezo wa mtu, si kusifia mtu kwa kabila.
Mimi nilishaacha kumsikiliza.
Huyo rais anasema ovyo tu.
Rais anatakiwa kusema maneno ya kujenga umoja wa kitaifa, si kuchochea ukabila. Rais anatakiwa kusifia uwezo wa mtu, si kusifia mtu kwa kabila.