alexiz sanchez ozil
Senior Member
- Sep 12, 2015
- 139
- 394
No mkuu,ndio maana nchi zinazojielewa zinakua na mahakama na zilizo huru,makonda sio mahakama mkuu!!ni court of law pekee yenye uamuzi wa kuhukumuUkweli ni kwamba, kila kitu duniani kina pande mbili. Kuna + na -. Wewe unapomwona mtu fulani ni muuaji wengine wanamwona mtu huyo huyo ni mkombozi kwao.
Kosa la kuua linatokana na sababu za kuua.
Kwa mfano, mtu mmoja kapewa kazi ya kununua madawa na kusambaza Nchi nzima. Badala yake yeye akanunua dawa kidogo tu au akanunua dawa zisizo na ubora unaotakiwa na kusambaza Mahospitalini.
Je, mtu wa namna hii akibainika na kuuawa, kutakuwa na kosa lolote?
Bila shaka hakuna kosa kwani yeye atakuwa ameua watu wengi zaidi kwa kukosa dawa au kwa kutumia dawa zisizo na ubora unaotakiwa.
Kwa hiyo, Issue siyo kuua bali umeua kwa sababu gani?
Nilichojifunza ni kwamba, Mama anatafuta wa kufanana naye zaidi. Anapenda wapole wapole zaidi siyo wale wakali.Huo ndio ukweli. Makala hashtui. Amepoaaa Aliye mteua naye kamopaa. Sema ametafuta wakufanana naye
Nimeitoa inakopatikana.Hiyo ratio ya 1:50 umeitoa wapi?
Nakubaliana na weweMakonda ana mambo ya ovyo.....ila kiusema kweli ana amasha amsha ππππ anajua kujitrendisha huku hacheki kama sio yeye.
Angeacha uropokaji na kujivisha madaraka, misafara ya kukera .....naona alikua vyema.
Au nasema uongo wanaccm wenzangu??!!
Sawa, lakini sometimes ni bora zaidi mambo yote Yakamalizika papo kwa papo kuliko kusubiri mahakama.No mkuu,ndio maana nchi zinazojielewa zinakua na mahakama na zilizo huru,makonda sio mahakama mkuu!!ni court of law pekee yenye uamuzi wa kuhukumu
Makonda anakubalikana wajinga tu,wenye akili tunamuona mbwiga tu,hata JPM alishamstukia ni mbwigaKumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.
Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Makalla hana mvuto kabisa. Hicho ndo kifo cha CCM.Yuke makala akienda hata kkoo aitishe mkutano wa chama sijui nani ataenda kumsikiliza makonda akiibuka kkoo watu wakajua mwamba yupo pande furani anaweza kuondoka na kijiji.Leo wanajiita watoto wa mjini sijui kuzaliwa dar ndo kuna faida gani.
Neno MATAGA nilisha anza kulisahau asante kwa kunikumbusha πππVita ya Mataga na wenye hatam imeanza upyaa....bushstarz hatukubali
Hilo nalo neno, mkuu.Hatimaye mpango wa kumtema Samia 2025 umepikwa na kupikika kwa uhakika.
Wazenji hata hawajitambui wanakenua tu meno yao!! Samia kwa heri ya kuonana
Ana mambo ya ovyo na amshaamsha za kijinga!Makonda ana mambo ya ovyo.....ila kiusema kweli ana amasha amsha ππππ anajua kujitrendisha huku hacheki kama sio yeye.
Angeacha uropokaji na kujivisha madaraka, misafara ya kukera .....naona alikua vyema.
Au nasema uongo wanaccm wenzangu??!!
Acha roho mbaya mzee baba.Bashite hatakiwa hata kupata ukatibu tawala.. Bashite kwa nchi zilizo serious labda Mjumbe wa nyumba 10, sisi hatuko serious na maisha ndio maana mtu kama Bashite anapata hadi mkoa eti awe mkuu.
Unda chama chako umpe uenezi huyo Makonda. AtakufaaKumwondoa Paul Makonda kwenye uenezi umeharibu kabisa. Makonda anakubalika sana hata na baadhi wasio wana CCM, kwa hiyo angeweza kuvuta vijana na watu wengi sana.
Makonda ana kipaji cha pekee cha kukubalika na watu.
Mama, washauri wako wamekuingiza mjini na pengine yawezekana kwa maslahi yao binafsi.
Akina Makalla 50 ni sawa na Makonda mmoja.
Pole yetu pia watanzania wote.
Kwa hiyo unataka kutuambia kwamba alikuwa sahihi kumshambulia pale Dodoma?.Ukweli ni kwamba, kila kitu duniani kina pande mbili. Kuna + na -. Wewe unapomwona mtu fulani ni muuaji wengine wanamwona mtu huyo huyo ni mkombozi kwao.
Kosa la kuua linatokana na sababu za kuua.
Kwa mfano, mtu mmoja kapewa kazi ya kununua madawa na kusambaza Nchi nzima. Badala yake yeye akanunua dawa kidogo tu au akanunua dawa zisizo na ubora unaotakiwa na kusambaza Mahospitalini.
Je, mtu wa namna hii akibainika na kuuawa, kutakuwa na kosa lolote?
Bila shaka hakuna kosa kwani yeye atakuwa ameua watu wengi zaidi kwa kukosa dawa au kwa kutumia dawa zisizo na ubora unaotakiwa.
Kwa hiyo, Issue siyo kuua bali umeua kwa sababu gani?