Rais Samia umeingizwa mjini, hukupaswa kumwondoa Paul Makonda kwenye Uenezi

Matatizo ya nchi bado ni yaleyale.

Ujinga
Maradhi
Umasikini

Kiongozi atayeweza kuondoa ujinga atakuwa amefanya jambo la muhimu kuzidi viongozi wote
 
Bongo nyoso . Mtu anashindishwa njaa mwaka mzima afu skukuu anapewa shawarma hakumbuk yote yalopita amesahau kabisa. Vichwa vyakuku amakweli havihimili vilemba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huoni mbali muekenduguyo akafemapema . Hukuona hiyo ajali nini ?? Ungerudi??
 
Hakubaliki popote, Mikutano yake yote hujazwa kwa amri za mamlaka ya kiserikali. Akienda popote shule zinafungwa, na walimu na watoto wote huelekezwa huko. wafanya kazi wa idara za serikali wote hulazimishwa kuudhuria. Hakuna ampendaye labda wakwe zake.
 
Unateseka kutoka wapi
 

Kwa hiyo wewe una information za chama tawala na serikali zaidi ya Rais?
 
yanga imeonewa
 
Amoss MAKALA anamjua nani , MAKONDA angekusaidia upite bila shida kubwa
 
Toa ushahid na picha, usituletee taarifa za vichochoroni. Sisi ni sovereignty country, nchi ya marekani haiwezi kutuanzishia taarifa za uongo na tukazikubali wakati sisi tunajitegemea na tuna bendera.Labda nikiulize, wakati USA inasema kwamba Sadam anatumia siraha za sumu je ilikuwa kweli? Waliposema Gadaff anatumia siraha za sumu ilikuwa kweli? Acheni taarifa potofu.
 
Siwezi kukujibu wewe chawa wa Makonda unayetegemea kuishi kwa kulipwa na huyo muuaji ili kumtetea kwenye mitandao ya kijamii na vilevile kajifunze kwanza kuandika ndipo uje nikujibu.
 
Rule numero uno..... never outshine your master.
 
Siwezi kukujibu wewe chawa wa Makonda unayetegemea kuishi kwa kulipwa na huyo muuaji ili kumtetea kwenye mitandao ya kijamii na vilevile kajifunze kwanza kuandika ndipo uje nikujibu.
Hauwezi kunijibu kwa, kuwa huna uwezo wa, hoja sahihi za kunijibu. Tanzania watu wengi ni frustrated kama Kigogo, Mange Kimambi, yaan ni kuzushia uongo watu na kuwatukana ili mpate nafuu ya frustration. Na huwa mko tayari kulazimisha watu waukubali ujinga na uongo went.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…