kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Kufa kufaanaNmeshangazwa kutumia neno kudra, asee wanaojua kiswahili waseme alikuwa na maana ipi??
Bara hamjui kiswahili nyie...eti Halima mwamwita Alima!Nmeshangazwa kutumia neno kudra, asee wanaojua kiswahili waseme alikuwa na maana ipi??
Ruhusa/baraka/kibaliSamahani, nini maana ya “ kudra”?
Atakuwa ameanza kushiba kalimati za ikulu.😝😝😝😝Shida pia wiki chache zilizopita alisema sasa hivi ni mapema sana kuzungumzia uraisi wa 2025.
Pia hakuwa na sababu ya kufikiria Sana uraisi kwa Sasa ikiwa ana mengi ya kufanya kwa kuwa alisema anataka kusimamisha uchumi.
Anapaswa kujiamini, afanye kazi watu watamchagua tu
Wewe mwenyewe umekosea sio jinsia zote ni jinsi zote,jinsi na jinsia ni vitu tofautiMama Samia Leo nimeona umekosea tena Jambo ambalo umekuwa ukilikosea toka mwanzo.
Ma Samia wewe ni Rais wa JMT, hivyo jinsia, ukabila, dini au rangi uliyo nayo haina uhusiano na urais wako...
Yupi ndo presidential material?She is NOT presidential material to be given second chance to lead this great nation,
Wanawake ni 51 + ya watanzania wote- sasa tumia akili yakoMama Samia Leo nimeona umekosea tena Jambo ambalo umekuwa ukilikosea toka mwanzo.
Ma Samia wewe ni Rais wa JMT, hivyo jinsia, ukabila, dini au rangi uliyo nayo haina uhusiano na urais wako...
Ni kauli si nzuri kabisa, yaani kifo cha bosi ni baraka kwake?
Lazima atageti kundi muhimu kwake,kwani mwendazake alipokuwa anakomaa na machinga alikuwa kwamba ndio wapiga kura wake kwani hakukuwa na makundi mengine ya wananchi?Mama Samia Leo nimeona umekosea tena Jambo ambalo umekuwa ukilikosea toka mwanzo.
Ma Samia wewe ni Rais wa JMT, hivyo jinsia, ukabila, dini au rangi uliyo nayo haina uhusiano na urais wako...
Tena anaelewa mapemaMtu aliyelewa madaraka katika style hii atakuwa na focus gani zaidi kutumbua raha na kulinda cheo chake....