kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Anawaambia watu wafanye kazi wasiwaze urais 2025 huku yeye anauwaza na kujitangaza kabisa!
Hivi CCM wanaruhusu kujipigia chapuo sasahivi hatamwaka haujaisha toka uchaguzi ulopita!! Kweli madaraka matamu chiiii!!
Nimesikitika kusikia sisi wanaume ni majirani khaaaa!! Sijajua kwani ni majirani zao upande gani??
Hivi CCM wanaruhusu kujipigia chapuo sasahivi hatamwaka haujaisha toka uchaguzi ulopita!! Kweli madaraka matamu chiiii!!
Nimesikitika kusikia sisi wanaume ni majirani khaaaa!! Sijajua kwani ni majirani zao upande gani??