Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
- Thread starter
-
- #21
Correct! Mama anaamini anajenga ustaarabu lakin wapinzani hawana ustaarabu always.Yaani kwa ufupi wapinzani hawana akili za uzalendo. Wanachowaza wao ni madaraka na siyo mbinu mbadala wa maendeleo ya nchi yetu, kila kitu wanapinga. Mama karuhusu mpaka kitabu kinachomtukana Dkt Magufuli kichapishwe kile cha mdude, maana yake ana seek sympathy kwenye kundi ambalo watanzani hawataki kulisikia maana hawana jipya.
Mbowe hanaga matusi kabisa, Ni mkristo yule tusimsingizie!Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu
Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.
Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile
Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live
Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Mama anatakiwa ashauriwe, vinginevyo atatengeneza fujo kama ile ya zamani kabla ya utawala wa JPMMie nilisema mapema, Mh. Rais wangu SSH achana na wapinzani, piga kazi, hao watukuzodoa, watakudharau, watakutukana, watakuona huna maana hata uwafanyie nini, Mh. Rais akianza kutaka kuwadhirisha wapinzani ni sawa na kujaza maji gunia.
Umeona Lissu alivyogeuka, umeenda kumuona, umempatia passport, umeahidi uso kwa uso kushughulikia maslahi yake aliyokuwa analilia kutwa, bado anasema ww sio alivyokufikuria, kasema vibaya sana juzi kati ulivyokutana na ile tume ya kutoa maoni ya vyama vya siasa.
Lissu au Mbowe hata ufanye nini, ni bure kabisa, huwezi kuwaridhisha. Achana nao. Umeona juzi Mbowe kwenye jukwaa akikunanga.
Petrol kwenye moto hiiKuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.
Ongea fact sio udhanifuPetrol kwenye moto hii
Yule wa kijali aliye mpiga mwenye kombati na jiwe Dodoma alifanya jema?
Yule wa kijani aliyemuua mwenye kombati kule kanda ya ziwa alifanya jema?
Mojawapo ya vichwa adimu humu jf.Tatizo lenu TEAM MWENDAZAKE, mnahisi zile siasa za kishamba ndio zenye manufaa!!kitu gani cha maana sana ambacho jiwe alikifanya kwa kupitia njia yake hiyo, ukilinganisha na jk ktk awamu yake?eti shukrani ya punda, kwani kuruhusu demokrasia na uhuru ni takwa la rais?!!Angalia siasa za KENYA, na jinsi Kenyata alivyo fair, tunawazidi nini?!kutokana na siasa zao za kuruhusu matakwa ya katiba ndio yawaongoze?!
Mkuu siasa zile muasisi wenu ndio hivyo tena, Muacheni mama aliponye taifa, na huko zanzibar mwinyi anapata upinzani mkubwa sana kutoka kwa maa consevatives, kwani bado wanataka siasa zile za mguu wa shingo, mguu wa roho!!na yeye siasa hizo hazitaki!!kwani muasisi wake jiwe hayupo.
Waueni woteOngea fact sio udhanifu
Ungetaja iwe reference kwenye mjadalaMama anatakiwa ashauriwe, vinginevyo atatengeneza fujo kama ile ya zamani kabla ya utawala wa JPM
Mkuu kuna watu wanaona wao na familia zao ndiyo wenye right ya kuishi na nchi ni yao, anachokifanya Samia ni threat kwa survival yao however good it will be. Kuna mtu alisema siasa siyo uadui hawakumuelewaDah... Hii nchi kuna vijana wa hovyo sana! Hivi ni kweli Anayofanya huyu mama anakosea..?
Huna akili wana chama wa ccm sio Tanzania? Wengi wenu hamjitambui mnatumiwa kwa manufaa ya watawala huku familia zenu zinateseka!Yaani kwa ufupi wapinzani hawana akili za uzalendo. Wanachowaza wao ni madaraka na siyo mbinu mbadala wa maendeleo ya nchi yetu, kila kitu wanapinga. Mama karuhusu mpaka kitabu kinachomtukana Dkt Magufuli kichapishwe kile cha mdude, maana yake ana seek sympathy kwenye kundi ambalo watanzani hawataki kulisikia maana hawana jipya.
Ili Rais Samia aonekane Ni mwema saaana kwa kina Mbowe inabidi awaachie hicho kiti Cha Urais wake.Umeongea ukweli..
Huyu mama anajichimbia kaburi..
Mwalimu ni muda..siku zinahesabika.
Pande zote mbili zina mazuri na mapungufu, bila kuliona hilo mtatumia muda mwingi na gharama kubwa kuumizana badala ya kujenga nchiViongozi wengi wa upinzani ni bure na hata ufanye nini huwezi kuwaridhisha zaidi zaidi mwisho wa siku watakuzodoa na kukudhalilisha tu..hawa sio wakuchekea kabisa... Siasa zenyewe wanazoziita za upinzani zimejaa wapumbavu ambao wanaamini Serikali au nchi ina chakuwafanyia au kuwalipa baadala ya wao ndio tuone faida yao kwa Taifa..
Duu chuki hiyo una maslahi nayo? Au ndio hata hujuwi unacho chukia?[emoji348][emoji348]Lisu alipaswa asirudi, Mbowe afungwe maisha afie gerezani.