Rais Samia unajiandalia majuto ambayo hutayasahahau kwenye maisha yako ya kisiasa

Rais Samia unajiandalia majuto ambayo hutayasahahau kwenye maisha yako ya kisiasa

Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Nadhani tayari amekwishaziona rangi zao vizuri mkuu kilambalambila.

Sasa hivi wanamlazimisha kuongea nao bila vyama vingine kule TCD.

Kikwete alijitahidi hadi kunywa nao chai Ikulu lakini bado walimn'gata.

Hao jamaa ni "Nyuki" huwa hawakumbatiwi.

Muda ni shahidi mkuu......
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Sikia siasa za ujua ,mabavu zimeshindwa kwenye mataifa mengi, ndo maana mataifa wanaong,ang,ania na mkakati huu ,vita haikomi, wengine huishiwa pinduliwa,maendeleo ni zero

Kama Rais huwezi kuwa na maono ya Mambo Kama aya basi ,unakua na matatizo ya akili, jifunzeni Kenya ,Zambia,

KWa ushauri wako unamuingiza rais chaka, Kama tunataka jenga taifa imara ni lazima kwenda na mawazo ya watanzania wote,
Acheni unafiki Kama Rais anania ya dhati ACHA afanye ata zaidi ya sasa,

Mwendazake mlimuingiza chaka ,YAKO wapi Sasa,
 
eti leo hii raia mmoja ameshiba huko anamwambia Rais na serikali mhakikishie ulinzi ndio yeye apande ndege aje Tanzania..

Mama inabidi uwe mkorofi kidogo kwa wajinga, tofauti na hapo watakusumbua na kufanya ushindwe kuwaongoza majority kwenye masuala muhimu..
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Acha roho mbaya na chuki kwa raia wenzako.
 
JK alileta mchakato wa katiba, ukaanza vizuri kwenye stage ya maoni ilipofika kwenye mikono ya wajinga tu, zikaanza kelele huko na kule na madai lukuki yasiyo na maana kana kwamba sasa kila jambo lazima likamilike wakati huo...kumbe tungeweza leo kuwa na katiba mpya ambayo ingekuwa mpaka leo imeshatatua baadhi ya mambo na mengine yangeendelea kubadilishwa kila wasaa ukipatikana...

Ujuaji, Ujuaji, Ujuaji, Ujuaji..
 
eti leo hii raia mmoja ameshiba huko anamwambia Rais na serikali mhakikishie ulinzi ndio yeye apande ndege aje Tanzania..

Mama inabidi uwe mkorofi kidogo kwa wajinga, tofauti na hapo watakusumbua na kufanya ushindwe kuwaongoza majority kwenye masuala muhimu..
Anatoa na masharti kwamba mama aite media atoe kauli kwamba anamkaribisha nyumbani. Yaani Rais wa nchi aaite media amkaribishe nyumbani lisu, ni ajabu sana. Majamaa yanaona yashamuwin mama sasa yanamtengenezea scenarios tu
 
Pande zote mbili zina mazuri na mapungufu, bila kuliona hilo mtatumia muda mwingi na gharama kubwa kuumizana badala ya kujenga nchi

yapo mazuri nakubaliana na wewe, ila kuna namna yakuyawakilisha... lakini pia tukumbuke kipo chama kilichoshika dola kwa kutumia ilani yake.... na kwenye uchaguzi huwa zinashindanishwa ilani na itakayoshinda ndiyo itakayotumika...

Siasa za kiaAfrica au Tanzania kwa kiasia kikubwa ni kusaka dola hata kama kuna wakati inapaswa utulivu ili umpe nafasi aliye madarakani kutekeleza kila anachokiamini...
 
Siasa za kiaAfrica au Tanzania kwa kiasia kikubwa ni kusaka dola hata kama kuna wakati inapaswa utulivu ili umpe nafasi aliye madarakani kutekeleza kila anachokiamini...
Hapa sasa ndipo panatakiwa kutafutiwa namna bora ya kupasahihisha ili kuja na mstakabali, kama ni kuundwa chombo cha kutoa elimu kwa vyama vya siasa kufanya siasa za kiistaarabu basi ifanyike hivyo badala ya mwenye dola kuwadhuru wanaompinga, haitakaa itupe amani abadan
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa

Mmesha anza:

IMG_20220305_151655_415.jpg


Hamchoki tu? Si bure!
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Kuna teuzi za uyaya ikulu ya dom utapata,uchawa wako uko juu
 
Hii nchi Uhuru umezidi,Kufikia hatua ya Kumtisha Rais. Mbona Alishasema Urais ni Taasisi sio mtu...Ukitukana hujamtukana yeye hilo Ulijue kabisaa tena yeye hata Hashtuki.
 
Anatoa na masharti kwamba mama aite media atoe kauli kwamba anamkaribisha nyumbani. Yaani Rais wa nchi aaite media amkaribishe nyumbani lisu, ni ajabu sana. Majamaa yanaona yashamuwin mama sasa yanamtengenezea scenarios tu

Huu si upotoshaji ndugu?

1. Serikali iliamua Lissu auawe.
2. Amri ya kuuwawa ikatolewa.
3. Utekelezaji wa kumwua ukafanyika.
4. Akanusurika kwa kudra za Mola tu.

IMG_20220309_162701_989.jpg


Anachoomba Lissu ni kuhakikishiwa nia hii ya serikali kumwua kuwa imeondolewa.

Wewe uko kwenye nafasi ya kufanya hivyo?
 
Mi
Kuna teuzi za uyaya ikulu ya dom utapata,uchawa wako uko ju

Hii nchi Uhuru umezidi,Kufikia hatua ya Kumtisha Rais. Mbona Alishasema Urais ni Taasisi sio mtu...Ukitukana hujamtukana yeye hilo Ulijue kabisaa tena yeye hata Hashtuki.
Taasisi ya u-Rais anayebeba bendera yake ni yeye. Hoja kwamba ukitukana Rais umetukana taasisi yeye hausiki si sahihi
 
Correct! Mama anaamini anajenga ustaarabu lakin wapinzani hawana ustaarabu always.
Upinzani sio aina ya mtu bali ni mtu mwenye mawazo tofauti na wewe.hao unaowaona ni wapinzani leo kesho watakua ndio watawala na wewe ukawa mpinzani.au wnaweza wakaamua kujiunga upande uliko wewe alafu tuone hii kama utakua na hii kauli yako yakijinga.Tujifunze kukubali mawazo mbadala maana hii nchi haina mwenyewe tunapishana muda tu.
 
Tatizo lenu TEAM MWENDAZAKE, mnahisi zile siasa za kishamba ndio zenye manufaa!!kitu gani cha maana sana ambacho jiwe alikifanya kwa kupitia njia yake hiyo, ukilinganisha na jk ktk awamu yake?eti shukrani ya punda, kwani kuruhusu demokrasia na uhuru ni takwa la rais?!!Angalia siasa za KENYA, na jinsi Kenyata alivyo fair, tunawazidi nini?!kutokana na siasa zao za kuruhusu matakwa ya katiba ndio yawaongoze?!
Mkuu siasa zile muasisi wenu ndio hivyo tena, Muacheni mama aliponye taifa, na huko zanzibar mwinyi anapata upinzani mkubwa sana kutoka kwa maa consevatives, kwani bado wanataka siasa zile za mguu wa shingo, mguu wa roho!!na yeye siasa hizo hazitaki!!kwani muasisi wake jiwe hayupo.

Mimba aliyokuachia Mwendazake hujajifungua mpk leo? Kafanye abortion km inakutesa hivyo
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Tulishasemaga, yetu macho. Huyo mbowe kashaanza pepeta mdomo utafikiri sio yule alikua mdomo wa kwenda kunyea debe lupango. Asingeweza kujitetea kesi zote nne lazima angefungwa jela.
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Ni muda sasa unapaswa ukue.Mmekaa kipuuzipuuzi tu.Akili za Magufuli uache.Hazina tija.
 
Back
Top Bottom