Rais Samia unajiandalia majuto ambayo hutayasahahau kwenye maisha yako ya kisiasa

Rais Samia unajiandalia majuto ambayo hutayasahahau kwenye maisha yako ya kisiasa

Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Wacha umagufuli aliyejifanya kama hii nchi ni mali yake na mwisho wa cku kaondoka na wala hakuwaachia wanawe hii nchi ni ya watanzania wote mwache afanye anayoyaamini mwishowe ataondoka na kumwachia mtanzania mwengine ataeridhiwa na watanzania kwa njia ya kidemokrasia c kwa nguvu kama alivyofanya dikteta.
 
Wacha umagufuli aliyejifanya kama hii nchi ni mali yake na mwisho wa cku kaondoka na wala hakuwaachia wanawe hii nchi ni ya watanzania wote mwache afanye anayoyaamini mwishowe ataondoka na kumwachia mtanzania mwengine ataeridhiwa na watanzania kwa njia ya kidemokrasia c kwa nguvu kama alivyofanya dikteta.
Changamoto ni hizi soda husababisha kisukari mkuu.Ningelipa unywe polepole huku unatafakari.
 
intell ya uchumi tz ni 30%.... intell ya siasa tz naipa 75% ngoja muone maajabu 2025.
 
Mimba aliyokuachia Mwendazake hujajifungua mpk leo? Kafanye abortion km inakutesa hivyo
Na kutokana na siasa ambazo anazifanya Mama kwa sasa ndio anazidi kabisa, kulipoteza hilo li mwendazake!!kama vipi mfuateni tu huko basi,
Yaani jitu lilituletea siasa za kiuadui ambazo hatukuwahi kuziona!!eti sitaki siasa niacheni nilete maendeleo, ni maendeleo gani aliyoleta kwa miaka sita hiyo, ambapo hadi leo tu wananchi bado wanapambana kupata maji safi na salama!!
 
Moja ya thread ya kustaajabisha kuwahi kutokea katika jukwaa hili muhimu.
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Kilambalila kwetu mtu mwenye mawazo finyu
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Mafuta ya kupikia Lita 5 shilingi elfu 37
Almost mara mbili ya gharama tuliyokuwa tunanunua hapo awali

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa

wewe huijui power ya Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania...
 
Kwahyo mlitaka wapinzani wawe wanamsifia Mama kama mnavofanya Lumumba.!???

Kuna favor yoyote amewapa au amewapa wanacho stahili...

Acheni ubwege vijana wa Lumumba,,, acheni watu waseme wanavoona wao ni sahihi... Nyie na mama mtachakata mazuri mchukue na mabaya muache,,, na sio kutaka kila mtu asifie kama mnavofanya nyie...

Hii nchi ina watu wengi sana,,, hatuwezi fanana misimamo... Na eti kisa Rais amekuja kukuona basi ndio unatakiwa kusifia kila kitu.... Acheni kupangia watu...

Mliokuwa mnasifia awamu ya JPM, leo hii wote mmegeuka..

Ni swala la muda tu
 
Tatizo lenu TEAM MWENDAZAKE, mnahisi zile siasa za kishamba ndio zenye manufaa!!kitu gani cha maana sana ambacho jiwe alikifanya kwa kupitia njia yake hiyo, ukilinganisha na jk ktk awamu yake?eti shukrani ya punda, kwani kuruhusu demokrasia na uhuru ni takwa la rais?!!Angalia siasa za KENYA, na jinsi Kenyata alivyo fair, tunawazidi nini?!kutokana na siasa zao za kuruhusu matakwa ya katiba ndio yawaongoze?!
Mkuu siasa zile muasisi wenu ndio hivyo tena, Muacheni mama aliponye taifa, na huko zanzibar mwinyi anapata upinzani mkubwa sana kutoka kwa maa consevatives, kwani bado wanataka siasa zile za mguu wa shingo, mguu wa roho!!na yeye siasa hizo hazitaki!!kwani muasisi wake jiwe hayupo.
Aliponye Taifa na nini?
Tumeshindwa kudhibiti mfumuko wa bei za bidhaa, tupo busy na corona na hata yenyewe hakuna hata kampeni moja tuliyofanikiwa.
Wapinzani nchi hii ni warudisha maendeleo, kuwafutia kesi bila sababu za msingi ni kuonyesha jinsi gani selikali tuliyonayo ni legelege.
 
Siasa zilizoletwa na washamba waliokuwa wakitaka kuongoza nchi kama familia zao tulizizika 26/3/2021
 
Mhe. Rais wewe ni mzoefu kwenye siasa za Tanzania. Kwa sasa ni kama unatafuta huruma ya wapinzani na unafanya vya kuwafurahisha lakin jua hii kitu itakugharimu

Kuachiwa kwa Mbowe, kukutana na Lisu ubeligiji, kujipanga kuruhusu mikutano ya kisiasa nk yote unatafuta kuonekana unajali ila ujue wapinzani hawaonagi jema.

Lisu sasa anademand utoe kauli ya kumkaribisha nyumbani na kwamba atakuwa salama, ni kama anakuamuru vile

Mbowe iko siku atasimama jukwaani na kukutukana live

Stay tuned hutaamini kama ni wao. Ule msemo wa shukrani ya punda unatimizwa vizuri na hao jamaa
Umetumwa na Polepole ???
 
Back
Top Bottom