Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD

Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:

1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
 
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:
1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Tumpe muda
 
Sisi Zanzibar hatuzitaki hizo faida,bakini mazo huko Tanganyika
 

Attachments

  • 20230606_195527.jpg
    20230606_195527.jpg
    22.5 KB · Views: 9
Ni wazi Rais ameingia choo cha KIUME au watoto wa mjini wanaita amepanda MTUMBWI wa VIBWENGO.

Ule mkataba unafuta mazuri yote aliyofanya. Magufuli alifanya mazuri mengi lakini alipokanyaga katiba na kuminya demokrasia na kuanza kuua akina Ben Saanane ndiyo ukawa mwisho wake.

Nami naamini NGUVU ya umma itamtoa Samia kwa vile hawezi akatumia mabavu kama Magufuli.

Watanzania wamekwisha TEST MITAMBO kwa MGOMO wa Kariakoo, hili la Dubai ni baya kuliko la Kariakoo. Sasa hivi kuwaitisha watu mtaani ni DAKIKA SIFURI.

SAMIA FUTA hiyo INAKUCHAFUA BIG TIME
 
Mkataba hauna exit clauses
Hatujui utakwisha lini,kwa Dola milioni 500 tu,halafu watu na akili zao na degree zao wanakubali na ku sign.
Kwahili niko tayari kuingia barabarani kwa yeyote atakayeanzisha maandamano ya kupinga.
Na hata kama kuna michango ya pesa kuwezesha,niko tayari kuchanga.
Hatutaki bandari yetu iuzwe.
 
Hii maana yake ni kwamba mapato ambayo nchi ilikuwa inapata kupitia TPA anaenda kuvuna mwarabu kiulaini tu yaani kwa kuongeza tu crane za kupakua na kuondoa mabehewa bandarini. jambo ambalo TPA na kampuni za kitanzania zinaweza kufanya.​
 
Ni wazi Rais ameingia choo cha KIUME au watoto wa mjini wanaita amepanda MTUMBWI wa VIBWENGO.

Ule mkataba unafuta mazuri yote aliyofanya. Magufuli alifanya mazuri mengi lakini alipokanyaga katiba na kuminya demokrasia na kuanza kuua akina Ben Saanane ndiyo ukawa mwisho wake.

Nami naamini NGUVU ya umma itamtoa Samia kwa vile hawezi akatumia mabavu kama Magufuli.

Watanzania wamekwisha TEST MITAMBO kwa MGOMO wa Kariakoo, hili la Dubai ni baya kuliko la Kariakoo. Sasa hivi kuwaitisha watu mtaani ni DAKIKA SIFURI.

SAMIA FUTA hiyo INAKUCHAFUA BUG TIME
Ukiongea kisiasa haswa zile za wanaharakati utaona huu kama vile ni mtihani mgumu sana. Sio kwa uzoefu wa Tanzania tunayoifahamu.

Hili ni jepesi sana hata likichochewa na wanasiasa halina uzito wowote ule.
 
Hii maana yake ni kwamba mapato ambayo nchi ilikuwa inapata kupitia TPA anaenda kuvuna mwarabu kiulaini tu yaani kwa kuongeza tu crane za kupakua na kuondoa mabehewa bandarini. jambo ambalo TPA na kampuni za kitanzania zinaweza kufanya.​
Vipi kuhusu wizi uliokuwa unafanyika pale TPA?, vipi kuhusu uzembe wa kuchelewesha mizigo inayoingia na kutoka nje.

Kumbuka wateja wamekuwa wakiikimbia bandari na kwenda zao Msumbiji na Kenya, usidhani kuwa TPA kuwa chini ya serikali ina faida kwetu kiuchumi.

Ni genge tu la wapigaji wale wale wa miaka yote.
 
Vipi kuhusu wizi uliokuwa unafanyika pale TPA?, vipi kuhusu uzembe wa kuchelewesha mizigo inayoingia na kutoka nje.

Kumbuka wateja wamekuwa wakiikimbia bandari na kwenda zao Msumbiji na Kenya, usidhani kuwa TPA kuwa chini ya serikali ina faida kwetu kiuchumi.

Ni genge tu la wapigaji wale wale wa miaka yote.
Mechanisms za kuwajibisha wazembe na wapigaji zipo, vinginevyo kwa hoja yako hiyo unataka sasa serikali ibinafsishe taasisi zake zote kwa wageni kwa kuamini kwamba watanzania wote ni wazembe na wezi, siyo?
 
Back
Top Bottom