Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD

Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD

Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:

1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Hivi huwa hamuwezi kutoa maoni yenu bila kugusa jina la hayati Magufuli?

Hapa ndio huwa mnakosea sana,Samia alikuwa msaidizi wa Magufuli namba moja,mnamuondoaje kwenye utendaji wa Magufuli?
Kwanini hakujiuzulu kama hakupendezwa na uongozi wa boss wake?
Ifike mahala toeni maoni yenu bila kutaja jina la hayati Magufuli,na inawezekana kabisa,achaneni na marehemu ambaye hawezi jitetea wala kujibu chochote
 
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:

1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Amina Mkuu, Asante kwa uzalendo wa kweli kwa taifa lako. Mwenye sikio na asikie.
 
Hivi huwa hamuwezi kutoa maoni yenu bila kugusa jina la hayati Magufuli?

Hapa ndio huwa mnakosea sana,Samia alikuwa msaidizi wa Magufuli namba moja,mnamuondoaje kwenye utendaji wa Magufuli?
Kwanini hakujiuzulu kama hakupendezwa na uongozi wa boss wake?
Ifike mahala toeni maoni yenu bila kutaja jina la hayati Magufuli,na inawezekana kabisa,achaneni na marehemu ambaye hawezi jitetea wala kujibu chochote
Wewe ni nani unatupangia nani wa kumlaumu na nani tusimlaumu? Hivi huyo paka wako unadhani alikuwa mzalendo kama alivyokuwa anajitapa?
 
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:
1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
🪓🪓🪓🪓🪓
 
Hivi huwa hamuwezi kutoa maoni yenu bila kugusa jina la hayati Magufuli?
Huyo pimbi ndiye alikataa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa sababu zake ZA HOVYO. Leo hii China na Oman wangekuwa wamemaliza kujenga na uchumi ungekuwa umezinduka, sidhani kama hoja ya DP WORLD ingekuwapo
 
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:

1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
samia hawezi fanya chochote kati ya hivyo,kwa kuwa ni rais dhaifu...Na hao waarabu wanajua hilo ndo maana wanajichukulia tu mali za watanganyika na samia hilo halimuumi.
 
Uelewa wako ukiwa mdogo ndio utaona kama vile serikali imeiweka rehani bandari.

TICTS wamekaa bandarini miaka 22 mbona hatukusikia hizi stori za TZ kuwekwa rehani?.

Swiss Port wapo airport miaka na miaka, hakuna aliyesema nchi imewekwa rehani. Ni uoga wa kutotaka mabadiliko unaotusumbua watanzania.
Swissport ni mfano mzuri ila nadhani hauna kile kipengele cha mkataba usioisha
 
Swissport ni mfano mzuri ila nadhani hauna kile kipengele cha mkataba usioisha
Mkataba usioisha uliowasilishwa bandarini kwa kifupi sio ule operational upo zaidi kiserikali.

Mikataba ya kazi ni hii ya hatua inayofuata ambayo inazihusu sekta husika ambazo Mwekezaji na wazalendo wataingia kwa ajili ya kikazi zaidi, hii mikataba inakuwa na uhai wa makubaliano, inakufa muda wowote na kuufanya mkataba mama usiwe na sababu ya kuwepo.
 
Mkataba hauna exit clauses
Hatujui utakwisha lini,kwa Dola milioni 500 tu,halafu watu na akili zao na degree zao wanakubali na ku sign.
Kwahili niko tayari kuingia barabarani kwa yeyote atakayeanzisha maandamano ya kupinga.
Na hata kama kuna michango ya pesa kuwezesha,niko tayari kuchanga.
Hatutaki bandari yetu iuzwe.
Tuwataftie alshababu, Hawa w
Tuwaue tu mjomba
 
Huyo pimbi ndiye alikataa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa sababu zake ZA HOVYO. Leo hii China na Oman wangekuwa wamemaliza kujenga na uchumi ungekuwa umezinduka, sidhani kama hoja ya DP WORLD ingekuwapo
Kuna muda tulikuwa Uchumi wa kati,!!
 
Kwahili niko tayari kuingia barabarani kwa yeyote atakayeanzisha maandamano ya kupinga.
Kwa nini usianze wewe kuingia barabarani? Hii ndiyo shida ya Watanzania! Kazi kuwajaza wenzao ndimu tu kwa kuandika kwenye mitandao
 
Narudia.
Nchi hii Jk akiendelea kuishi tutataabika sana.
Huyu ndiye mtaabishaji wa nchi..

Jambazi
Mfitini
Mlaghai
Mwizi
Fisadi kuu
Mnafiki

##kataaJK##

Muache mzee wa watu apumzike kwani kulikua na saini yake pale kwenye kuuzwa bandari
 
I second.Nia inaweza kuwa ilikuwa nzuri lakini kelele za wananchi zimekuwa tuu machi
 
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:

1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Uko sahihi kabisa. Ila tungeanza kwanza na bandari zilizoko Zanzibar ambako mara zote wametamani kuwa kama Dubai. Tanganyika tutajifunza na kufaidika na uzoefu wao ikiwa kweli watakuwa kama Dubai.
 
Wabunge wetu wamebaki watu wa ndio ndio ndio na kugonga Meza, yaani wote wazo lao ni moja.

Akitokea Mbunge mmoja anajalibu kuzungumza tofauti ni, Muomgozo, muongozo miongozo.

Spika ndio kabisa utadhani ndio Serikali yenyewe ya waliosaini.

Nchi za Kiafrika haziendelea kiuchumi sababu ya mikataba mibovu kama hii.

Utadhani hatuna viongozi wanaokaa chini na kuweka maslahi ya nchi mbele.

Ukweli usemwe hapa inawezekana kabisa viongozi wamewekewa hisa binafsi kwenye huu mkataba.
 
Vipi kuhusu wizi uliokuwa unafanyika pale TPA?, vipi kuhusu uzembe wa kuchelewesha mizigo inayoingia na kutoka nje.

Kumbuka wateja wamekuwa wakiikimbia bandari na kwenda zao Msumbiji na Kenya, usidhani kuwa TPA kuwa chini ya serikali ina faida kwetu kiuchumi.

Ni genge tu la wapigaji wale wale wa miaka yote.
Zimwi likujualo
 
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:

1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Washauri wa Saa100 na yeye mwenyewe asome huu mkataba ili wajifunze na kujiuliza kwanini ni bandari za Bara tu .

Na aone wazi kuwa ameuza Tanganyika.

Pia aone kuwa hatoshei nafasi aliyopewa na katiba
Pia mikataba 17 aliyosaini huko Dubai iwekwe wazi isije ikawa Ngorongoro crater na SGR amesainisha tena waarabu mikataba ya aina hiyo
 

Attachments

samia hawezi fanya chochote kati ya hivyo,kwa kuwa ni rais dhaifu...Na hao waarabu wanajua hilo ndo maana wanajichukulia tu mali za watanganyika na samia hilo halimuumi.
Nguvu ya umma ipo itamtoa kama wale wa Srilanka. Au hukuona wakati wa sakata la TRA na Wafanyabiashara wa Kariakoo?
 
Back
Top Bottom