Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD

Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD

Mechanisms za kuwajibisha wazembe na wapigaji zipo, vinginevyo kwa hoja yako hiyo unataka sasa serikali ibinafsishe taasisi zake zote kwa wageni kwa kuamini kwamba watanzania wote ni wazembe na wezi, siyo?
Lengo ni kwenda na dunia ya sasa. Unapokuwa na treni ya viwango vya SGR hauwezi kuwa na uchumi wenye ufanisi kwa aina ya bandari tuliyonayo hivi sasa. Mzigo utakwenda kuielemea na malalamiko yatakuwa mengi na watu watafungua nyuzi nyingi humu jukwaani wakiupigia kelele mkwamo wa bandari.

Lengo kuu ni kusogea uchumi wa juu wa kati mahali tulipokuwa tukielekea kabla ya mlipuko wa covid ulioturudisha nyuma mwaka jana.

Kitaifa tuna lengo la kuufikia uchumi wa kati wa juu, hivyo SGR itakapoanza kazi kutakuwa na ongezeko la mzigo unaoingia na kutoka bandarini kuliko huu wa sasa. Haupo uwezekano wa ufanisi huu wa sasa kwenda sambamba na matakwa mapya ya kiuchumi ya wakati huo.

Wengi wa hawa wanaopiga makelele ni fikra za wanaharakati tu, wanatumiwa bila ya wao kujua kuwa wanafikisha mawazo ya watu fulani ambao wana malengo ya kibinafsi.
 
Mechanisms za kuwajibisha wazembe na wapigaji zipo, vinginevyo kwa hoja yako hiyo unataka sasa serikali ibinafsishe taasisi zake zote kwa wageni kwa kuamini kwamba watanzania wote ni wazembe na wezi, siyo?
Halafu utakuta watu kama hawa ndiyo wamepewa nafasi nyeti tangu uhuru, kisha kwakua anachojua ni kutumia tu anadhani Tanzania nzima ndiyo kama yeye...Tunapotaka katiba mpya ni pamoja na kukomesha haya mambo ya kuteuana bila merits
 
Lengo ni kwenda na dunia ya sasa. Unapokuwa na treni ya viwango vya SGR hauwezi kuwa na uchumi wenye ufanisi kwa aina ya bandari tuliyonayo hivi sasa. Mzigo utakwenda kuielemea na malalamiko yatakuwa mengi na watu watafungua nyuzi nyingi humu jukwaani wakiupigia kelele mkwamo wa bandari.

Lengo kuu ni kusogea uchumi wa juu wa kati mahali tulipokuwa tukielekea kabla ya mlipuko wa covid ulioturudisha nyuma mwaka jana.

Kitaifa tuna lengo la kuufikia uchumi wa kati wa juu, hivyo SGR itakapoanza kazi kutakuwa na ongezeko la mzigo unaoingia na kutoka bandarini kuliko huu wa sasa. Haupo uwezekano wa ufanisi huu wa sasa kwenda sambamba na matakwa mapya ya kiuchumi ya wakati huo.

Wengi wa hawa wanaopiga makelele ni fikra za wanaharakati tu, wanatumiwa bila ya wao kujua kuwa wanafikisha mawazo ya watu fulani ambao wana malengo ya kibinafsi.
SGR aliijenga nani? Siyo mtanzania ali asisi wazo na kuthubutu? Wapo wengi kama yeye, ni mfumo tu mbovu ambao ndiyo tunataka utoke
 
SGR aliijenga nani? Siyo mtanzania ali asisi wazo na kuthubutu? Wapo wengi kama yeye, ni mfumo tu mbovu ambao ndiyo tunataka utoke
Sawa kabisa, tatizo ni mfumo.......lazima tujenge capacity ya watu wetu kuendesha mambo yao. Hii kumilikisha wageni hadi maeneo nyeti kama bandari haiwezi kuwa utaratibu unaofaa.
 
Tatizo mama kazungukwa na genge la walafi sana mbaya zaidi kawaamini mno na ndio wanaomharibia.
Labda hiyo ndiyo sifa kuu ya kuteuliwa na baada ya kuwaagiza wale kwa urefu wa kamba zao kila mmoja anajitahidi kutimiza ahadi.

Hapana, hawamharibii! Labda unasahau kuwa ndege wafananao huruka pamoja na hilo kwa CCM ni msimamo thabiti usioyumba.
 
Sawa kabisa, tatizo ni mfumo.......lazima tujenge capacity ya watu wetu kuendesha mambo yao. Hii kumilikisha wageni hadi maeneo nyeti kama bandari haiwezi kuwa utaratibu unaofaa.
Capacity ipo, ila wenye capacity hawakuzaliwa familia zilizo pata random chance ya kuwa katika nafasi ya maamuzi baada ya huru...Katiba yetu mpya ndiyo itafuta huu ukoloni wa mtu mweusi aliorithishwa na wakoloni weupe
 
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:
1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli


Tatizo watanzania wengi ni mapepe sasa hao 99% wamesoma mkataba upi? au wamelishwa maneno tu !!
 
Vipi kuhusu wizi uliokuwa unafanyika pale TPA?, vipi kuhusu uzembe wa kuchelewesha mizigo inayoingia na kutoka nje.

Kumbuka wateja wamekuwa wakiikimbia bandari na kwenda zao Msumbiji na Kenya, usidhani kuwa TPA kuwa chini ya serikali ina faida kwetu kiuchumi.

Ni genge tu la wapigaji wale wale wa miaka yote.

Acha utoto, una arguement za kipumbavu sana
 
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:
1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Unafikiri anaziona thread??? Forget kabisa huo mkataba lazima upitishwe bungeni maana nyie Dkt Magufuli aliwafungua macho ila mkaendelea eti kumnanga
 
Tulisha sema kwenye hili baraza, Kama Yuko
Makamba
Mbarawa.
Mwigulu
Mchengerwa
Hakuna zuri litakalotokea. Kitu Cha ajabu kabisa, wote wameshika wizara nyeti.
 
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:
1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Pia Mgukuze Attorney General kwa kushindwa kazi na kukubali mkataba wa hovyo.
 
Bunge la WAZI la WANANCHI tuhakikishe viongozi wetu waliopagawa hawauzi SHAMBA la URITHI.

Kama wamehongwa, warudishe hongo.

Hatutakubali.
 
Vipi kuhusu wizi uliokuwa unafanyika pale TPA?, vipi kuhusu uzembe wa kuchelewesha mizigo inayoingia na kutoka nje.

Kumbuka wateja wamekuwa wakiikimbia bandari na kwenda zao Msumbiji na Kenya, usidhani kuwa TPA kuwa chini ya serikali ina faida kwetu kiuchumi.

Ni genge tu la wapigaji wale wale wa miaka yote.

..ni kweli TPA haina ufanisi.

..lakini hili la bandari tuwe waangalifu.

..kwa mfano, kwanini tusitangaze tender ya wazi na yenye ushindani?

..kama tumeshaamua wawe DP kwanini tusiwape gati zilizokuwa chini ya TICTS kwa mkataba mfupi ili kujiridhisha kama tunaweza kufanya nao kazi?

..hivi tunavyokwenda ni kama tunaburuzana na tumeamua kuwapa DP kila kitu. Tunabadilisha mpaka sheria zetu za masuala ya bandari.

..tutumie uzoefu tulioupata ktk mikataba ya madini. Tufanye mambo kwa uangalifu zaidi.
 
Mkataba hauna exit clauses
Hatujui utakwisha lini,kwa Dola milioni 500 tu,halafu watu na akili zao na degree zao wanakubali na ku sign.
Kwahili niko tayari kuingia barabarani kwa yeyote atakayeanzisha maandamano ya kupinga.
Na hata kama kuna michango ya pesa kuwezesha,niko tayari kuchanga.
Hatutaki bandari yetu iuzwe.
Sasa hivi kuliamsha dude ni mara moja, watu hawatafiri mara mbili kuingia barabarani
Hawa waarabu ilitakiwa waje huku vijijini walime kwa tija tuone matunda ya kilimo

Sio kukimbilia bandarini
Naunga mkono hoja
 
Sawa kabisa, tatizo ni mfumo.......lazima tujenge capacity ya watu wetu kuendesha mambo yao. Hii kumilikisha wageni hadi maeneo nyeti kama bandari haiwezi kuwa utaratibu unaofaa.
Kabisa ni mkataba wa kiwendawazimu
 
Mkataba hauna exit clauses
Hatujui utakwisha lini,kwa Dola milioni 500 tu,halafu watu na akili zao na degree zao wanakubali na ku sign.
Kwahili niko tayari kuingia barabarani kwa yeyote atakayeanzisha maandamano ya kupinga.
Na hata kama kuna michango ya pesa kuwezesha,niko tayari kuchanga.
Hatutaki bandari yetu iuzwe.
Tuendelee kupaza sauti, atatusikia kupitia chawa wake
 
Back
Top Bottom