Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini kuwe na Single Source katika Mkataba huu?. Mhe. Rais achukue ushauri wa Prof. Lipumba.Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.
99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-
1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana
2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract
3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa
4. Namna Bunge lilivyo fast track
Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.
Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.
Ushauri:
1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU
2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.
Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Naunga mkono hoja, isipokuwa ulipomtaja vibaya Hayati JPM ambaye binafsi naamini mpaka kesho kuwa alipendwa na kuaminiwa na Watanzania wengi sana kulinganisha na wachache (japo wenye nguvu) waliomchukia.Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.
99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-
1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana
2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract
3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa
4. Namna Bunge lilivyo fast track
Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.
Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.
Ushauri:
1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU
2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.
Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Unaona umuhimu wa yule ambaye huwa hupendi kusikia jina lake?Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.
99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-
1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana
2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract
3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa
4. Namna Bunge lilivyo fast track
Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.
Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.
Ushauri:
1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU
2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.
Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Acheni kujitia wajuaji wakati kumbe mnazidi kujionesha kuwa wajinga tu!! hivi mkataba wa ushirikiano wa nchi na nchi unakuwaga na kipengele cha muda?Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.
99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-
1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana
2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract
3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa
4. Namna Bunge lilivyo fast track
Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.
Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.
Ushauri:
1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU
2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.
Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Too late samaki ameshameza chambo.Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.
99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-
1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana
2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract
3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa
4. Namna Bunge lilivyo fast track
Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.
Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.
Ushauri:
1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU
2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.
Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Anategemea kikwete ,Makamba ,nape na mwigulu ndo wampiganieMimi sioni how anaweza kubaki 2025? Yaani how, atatuambia nini waTanganyika?
Labda kama atatumia jeshi, ila kwa civilised method sioni itawezekana vipi
Ni ngumu kubebeka hata kwa mbeleko ya greda, its impossible, yaani haiwezekani, halafu binadamu inakuwaje unakosa aibu kabisa usoni? Kwamba unafanya jambo la aibu mno halafu unaongea uso unakuwa mkavu kabisa, totally dry, hiki nacho ni kipaji..
Au hajui kinachoendelea? Au kaambiwa ni chumba cha ku-scan makontena ndio kimeuzwa? Au hajui nini?
Anategemea nini?!!!!
Narudia.Anategemea kikwete ,Makamba ,nape na mwigulu ndo wampiganie
Kwanza hawajawekeza chochote, hata fidia itakuwa si kubwa huko mahakamaniKumpa muda ndiyo kuingia mkenge mazima. Hii kitu ISITISHWE mara moja hata ikibidi kwa NJIA YA MAHAKAMA