Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD

Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD

Wabunge waliopo bungeni ni zao la Mwendazake..tuone sasa umwamba wao wa kumuenzi Mwendazake kwa kukataa kupitisha huu Mkataba.

Mimi binafsi naona mkataba ukiwekwa vizuri hamna shida as long as jamaa wametuhakikishia kwamba wataongeza mapato kwa margin kubwa.

Sisi wabongo maeneo mengi tu tumefeli..kitu kizuri tu kama Mwendokasi tumeshindwa kuufanya mradu u-run smoothly and efficiently.
 
Dah......wakuu....twende mbele turudi nyuma....tumpe muda mama.....bado mapema sana 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:

1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Kwa nini kuwe na Single Source katika Mkataba huu?. Mhe. Rais achukue ushauri wa Prof. Lipumba.
 
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:
1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Naunga mkono hoja, isipokuwa ulipomtaja vibaya Hayati JPM ambaye binafsi naamini mpaka kesho kuwa alipendwa na kuaminiwa na Watanzania wengi sana kulinganisha na wachache (japo wenye nguvu) waliomchukia.
 
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:
1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Unaona umuhimu wa yule ambaye huwa hupendi kusikia jina lake?
 
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:

1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Acheni kujitia wajuaji wakati kumbe mnazidi kujionesha kuwa wajinga tu!! hivi mkataba wa ushirikiano wa nchi na nchi unakuwaga na kipengele cha muda?

Nani kakwambia hakukuwa na uwazi? Kama hufuatilii mambo ni wewe na ujinga wako tu!! Hizo kampuni zingine zilizoomba ziliombaje kama hakukuwa na uwazi?

Bunge limefast track vipi? uliwahi kuona mkataba wa bwawa la Nyerere? Uliuliza? mbona husein unitised? uliwahi kuona mkataba wa sgr Dar - Moro? Uliuliza? Mbona husemi unitishwe?

Acheni ujuaji na siasa zenu kwenye masuala ya msingi ya maendeleo ya nchi wapuuzi nyie
 
Chadema pembeni CCM itawale maisha yote. CCM ndio Hifadhi yenu na heshima yenu. Dalili hazioneshi kuwa man uwezo wa wa kuifanyia Tanzania kuwa salama nje ya mikono ya CCM. Chadema hamjaonesha uwezo wa kuwashawishi watanzania kuwa nyinyi ni mikono salama kwa watanzania.
 
Wewe Popoma tulia kazi iendelee🐒🐒🐒
AAPP0t.jpeg
 
Takriban 90% ya threads zote kwenye JF ndani ya siku hizi 2 zinahusu sakata la mkataba wa Tanzania na DP WORLD ya UAE.

99% ya comments hazikubaliani na namna Rais Samia na Bunge walivyo handle mkataba huu. Kuna vitu 3 vikubwa ambavyo hata wale wanaounga mkono ubinafsishaji hawakubaliani:-

1. Kutokuwa na uwazi katika namna ambavyo mkandarasi amepatikana

2. Mkataba kutokuwa na ukomo au perpetual contract

3. Article 23 kuhusu mkataba kutovunjwa au kusimamishwa

4. Namna Bunge lilivyo fast track

Mimi siyo chawa wa Samia japo naunga mkono mambo mengi aliyofanya tangu 2021 alipochukua nchi.

Lakini kwa hili kumtetea Rais Samia lazima uwe MWENDAWAZIMU.

Ushauri:

1. Bado mapema mno na DP WORLD hawajawekeza chochote, Rais achukue maoni ya wananchi walio wengi AU

2. Rais ASITISHE Mkataba mara moja.

Kinyume cha hapa miaka 2 hii iliyobakia itakuwa michungu kwake. Hata uchaguzi wa 2025 HAWEZI kupita LABDA atumie style za Magufuli, kitu ambacho naamini hawezi kuvaa ukatili wa Magufuli
Too late samaki ameshameza chambo.
 
Mimi sioni how anaweza kubaki 2025, yaani how, atatuambia nini waTanganyika? Labda kama atatumia jeshi, ila kwa civilised method sioni itawezekana vipi!

Ni ngumu kubebeka hata kwa mbeleko ya greda, its impossible, yaani haiwezekani, halafu binadamu inakuwaje unakosa aibu kabisa usoni? Kwamba unafanya jambo la aibu mno halafu unaongea uso unakuwa mkavu kabisa, totally dry, hiki nacho ni kipaji.

Au hajui kinachoendelea? Au kaambiwa ni chumba cha ku-scan makontena ndio kimeuzwa?Anategemea nini?
 
Mimi sioni how anaweza kubaki 2025? Yaani how, atatuambia nini waTanganyika?

Labda kama atatumia jeshi, ila kwa civilised method sioni itawezekana vipi

Ni ngumu kubebeka hata kwa mbeleko ya greda, its impossible, yaani haiwezekani, halafu binadamu inakuwaje unakosa aibu kabisa usoni? Kwamba unafanya jambo la aibu mno halafu unaongea uso unakuwa mkavu kabisa, totally dry, hiki nacho ni kipaji..

Au hajui kinachoendelea? Au kaambiwa ni chumba cha ku-scan makontena ndio kimeuzwa? Au hajui nini?

Anategemea nini?!!!!
Anategemea kikwete ,Makamba ,nape na mwigulu ndo wampiganie
 
Dah......wakuu....twende mbele turudi nyuma....tumpe muda mama.....bado mapema sana 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kumpa muda ndiyo kuingia mkenge mazima. Hii kitu ISITISHWE mara moja hata ikibidi kwa NJIA YA MAHAKAMA
 
Back
Top Bottom