peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kwa mkataba huu wa kuuza bandari za Bara zote, Saa100 soon atarajie NGUVU ya UMMA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda nguvu ya keyboard worrious.Kwa mkataba huu wa kuuza bandari za Bara zote, Saa100 soon atarajie NGUVU ya UMMA.
DP keshaini muda mrefu tu mkataba kule Rwanda. JPM aliacha ujenzi wa SGR umekwisha kusogea, muda sio mrefu inakaribia kumalizika.Washauri wa Saa100 na yeye mwenyewe asome huu mkataba ili wajifunze na kujiuliza kwanini ni bandari za Bara tu .
Na aone wazi kuwa ameuza Tanganyika.
Pia aone kuwa hatoshei nafasi aliyopewa na katiba
Pia mikataba 17 aliyosaini huko Dubai iwekwe wazi isije ikawa Ngorongoro crater na SGR amesainisha tena waarabu mikataba ya aina hiyo
Hakuna anayetaka kubinafsisha bandari ni mkataba wa kibiashara unaokwenda kuongeza pato kutoka trilioni saba pesa aliyokuwa analipa TICTS kwa mwaka mpaka trilioni 26 na hapo hayo ni makadirio tu kwani inaweza kuzidi kiasi hicho.Mechanisms za kuwajibisha wazembe na wapigaji zipo, vinginevyo kwa hoja yako hiyo unataka sasa serikali ibinafsishe taasisi zake zote kwa wageni kwa kuamini kwamba watanzania wote ni wazembe na wezi, siyo?
Kwani ukubwa wa mzigo wote wa Rwanda ni kiasi gani kwa mwaka? Sidhani kama Rwanda wanafika 900,000 tonnes per annumHakuna anayetaka kubinafsisha bandari ni mkataba wa kibiashara unaokwenda kuongeza pato kutoka trilioni saba pesa aliyokuwa analipa TICTS kwa mwaka mpaka trilioni 26 na hapo hayo ni makadirio tu kwani inaweza kuzidi kiasi hicho.
JPM alipokuwa anapambana usiku na mchana kujenga reli kwa kiwango cha SGR tulikuwa tunadhani lengo lake lilikuwa ni lipi?.
Kwa sasa sina taarifa kamili, ingawa mzigo wa maana ni huo unaotoka DRC ambao DP World kaufuata huko huko.Kwani ukubwa wa mzigo wote wa Rwanda ni kiasi gani kwa .waka? Sidhani kama Rwanda wanafika 900,000 tonnes per annum