Rais Samia, uongozi si hotuba zenye maneno matupu. Uongozi ni matendo yenye matokeo ya ulichotamka

Rais Samia, uongozi si hotuba zenye maneno matupu. Uongozi ni matendo yenye matokeo ya ulichotamka

Au ana bet?
Kitaalamu tunasema halftime WON
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji39][emoji39]
 
Mpeni mda jamani, bado mapema sana kuanza kumlaumu. Hamtaki, hamieni burundi
Huyu mama wala si wa kumpa muda. maana ishajionyesha dhahiri kuwa si mtu mwenye msimamo kwa kauli zake anazotoa. Anaweza akawa na njema ila wakitokea wahuni na kumshawishi kuhusu kitu fulani hachelewi kubadilika. Hiyo ndio hofu yangu mimi.
 
Back
Top Bottom