Rais Samia usidanganywe kuwa unakubalika sana na 2025 utashinda kirahisi kama Mzee Makamba anaepalilia ugali wa mwanae

Rais Samia usidanganywe kuwa unakubalika sana na 2025 utashinda kirahisi kama Mzee Makamba anaepalilia ugali wa mwanae

Wewe ambaye sio shwaini hebu niambie lini uliithibitisha na kujua viambata vya chanjo ya polio na surua uliyochoma wewe na ukoo wako mzima? Mbona hujawahi kujiuliza viambata vya alkasus na mitishamba unayojichochea kuongeza nguvu za kiume kuwaridhisha wanawake wako?
Cheki ulivyo mpumbavu,,asubuhi unawaZa ngono Tu,CCM inajivunia watu kama nyie...go away scum
 
Miaka mitano iliyopita kulikuwa hakuna ukame? Kwa nini Makamba amenunua jenerator la Mw 20 kimyakimya.
Lini uliwahi kupewa mkataba wa manunuzi nchi hii? Ukame wa miaka hii was the worst for years. Kusema kulikuwa na ukame miaka 5 iliyopita naomba uniletee ushahidi
 
Bahati nzuri kila kitu kipo wazi kabisa. Wananchi wanajua kinachoendelea nchini. Hii nchi kwa sasa inavyoendeshwa na akina nani na kundi gani.

Kila mtanzania anajua namna hilo kundi lililokuzunguka linawatafuna namna gani watanzania.

Watanzania wanayo ya moyoni ila 2025 ikikaribia watafunguka.

Mzee Makamba anakudanganya unaupiga mwingi na 2025 utapita kirahisi. Sio kweli labda kama watanzania ni wajinga kama enzi za Chief Mangungo wa Msovero.
Makamba anataka amdanganye nani eti anaupiga mwingi na huku umeme unakata kata!!!?
 
Bahati nzuri kila kitu kipo wazi kabisa. Wananchi wanajua kinachoendelea nchini. Hii nchi kwa sasa inavyoendeshwa na akina nani na kundi gani.

Kila mtanzania anajua namna hilo kundi lililokuzunguka linawatafuna namna gani watanzania.

Watanzania wanayo ya moyoni ila 2025 ikikaribia watafunguka.

Mzee Makamba anakudanganya unaupiga mwingi na 2025 utapita kirahisi. Sio kweli labda kama watanzania ni wajinga kama enzi za Chief Mangungo wa Msovero.
Active kichwa cha habari kama Mzee Makamba anavyokudanganya ili kupalilia ugali wa mwanae.
 
Mtamfanya nini samia na kundi lake nyie wafuasi wa chama cha mambuzi?
 
Naona una hasira sn! Ile roho ya uuaji na utekaji bado inakusumbua kutaka kujitokeza. Tafuta kazi nyingine ufanye sio kugeuza utekaji km ajira ya kudumu
Wewe bwege huna hoja zaidi ya ngonjera za kukariri. Nakupuuza.
 
Bahati nzuri kila kitu kipo wazi kabisa. Wananchi wanajua kinachoendelea nchini. Hii nchi kwa sasa inavyoendeshwa na akina nani na kundi gani.

Kila mtanzania anajua namna hilo kundi lililokuzunguka linawatafuna namna gani watanzania.

Watanzania wanayo ya moyoni ila 2025 ikikaribia watafunguka.

Mzee Makamba anakudanganya unaupiga mwingi na 2025 utapita kirahisi. Sio kweli labda kama watanzania ni wajinga kama enzi za Chief Mangungo wa Msovero.

Nakumbuka sana kipindi cha Magufuli wapinzani walipokuwa wanapambana Watanzania wapate katiba mpya mlivyokuwa mnawabeza!!

Nafikiri hamkuelewa kwenye maisha kuna nyakati njema na kuna nyakati ngumu!! Na katiba ingekuwa ni kiungo kizuri sana cha kupata viongozi bora bila kuburuzwa!! Na namna ambayo watanzania wangeweza kutetea haki yao kirahisi.

Shida ni kwamba wakati matumbo yanashiba leo mnasahau kesho njaa inaweza kutokea na namna ya kutatua lazima misingi iwekwe leo!!

Ndo hivyo sasa Samia ndo Rais wako mpaka 2030!! Habari ndo hiyo!!

Endeleeni kubeza kila kinacholetwa na upinzani badala ya kutanguliza Taifa mbele!! Na hilo kundi lillilomzunguka hamna cha kuwafanya na hata 2030 tayari walishakuandalia Rais wa kukuongoza hadi akili ziwakae sawa!!
 
Nakumbuka sana kipindi cha Magufuli wapinzani walipokuwa wanapambana Watanzania wapate katiba mpya mlivyokuwa mnawabeza!!

Nafikiri hamkuelewa kwenye maisha kuna nyakati njema na kuna nyakati ngumu!! Na katiba ingekuwa ni kiungo kizuri sana cha kupata viongozi bora bila kuburuzwa!! Na namna ambayo watanzania wangeweza kutetea haki yao kirahisi.

Shida ni kwamba wakati matumbo yanashiba leo mnasahau kesho njaa inaweza kutokea na namna ya kutatua lazima misingi iwekwe leo!!

Ndo hivyo sasa Samia ndo Rais wako mpaka 2030!! Habari ndo hiyo!!

Endeleeni kubeza kila kinacholetwa na upinzani badala ya kutanguliza Taifa mbele!! Na hilo kundi lillilomzunguka hamna cha kuwafanya na hata 2030 tayari walishakuandalia Rais wa kukuongoza hadi akili ziwakae sawa!!
Katika siasa kila kitu kinawezekana..Ndio maana hata Hayati Julius alitawala kwa hii katiba na rasilimali za nchi zikalindwa.
 
Back
Top Bottom