Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

Na kesi ya Mbowe ndio inazidi kumtenga na huruma ya Wananchi, asipojitafakari upya atashangaa wenzake wanasimama pembeni kumsimanga.
Tena Ccm vigeugeu kma kinyonga utasikia si tulimshauri hakusikia
 
Waache kumnanga marehemu. Huyu ndo alikuwa shujaa wetu
Mama kadanganywa na kikwete alidhani uraisi ni kazi rahisi akaanza kumtukana MAGUFULI THE GREAT sasa lazima atapata tabu sana atakapokuwa anashindwa jambo lolote kulifanya vizuri maana aliingia madarakani kwa kujipigapiga kifua dhidi ya jpm akitaka kutuaminisha kuwa yeye ana akili kuliko jpm
 
Ni ngumu sana kumshahuri mtu mwenye sifa ya UZUZU nikama kujaribu kumshauri speaker wa bunge utapata tabu sana tena sana
 
kwanza tuambiwe na mifumo rasmi ya uchunguzi Dr. Magufuli alikufa je? kila nafsi itaonja mauti ila tunataka tu kujua ilikuwa je mpaka mzee wa watu akafikwa na umauti?
Eti Rais wa inchi kubwa kam hiii anakufa hata hakuna uchunguzi wa kifo chake si hatari hiii
 
Ukitaka kuamini JPM Ana nguvu, huyo mama yako aruhusu kura za maoni kwa nafasi ya Urais mwaka 2025
Itambeba CCM ambayo hata akigombea paka anapita
 
Kwa mazingira anayoyapitia Mama SSH kwa hivi sasa, na ili aweze kuweka mambo sawa, ni vyema akauvunja mwiko kwa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa. Na pia aufufue upya ule mchakato wa katiba mpya.

Sitaki kuonekana kama mbaguzi wa kijinsia, lakini ni ukweli usiopingika kwamba mama zetu hawa wanapokuwa katika mtanziko mkubwa na kukabiliana na changamoto kubwa huwa wanafanya maamuzi mengine kwa hasira ambayo huja kuyajutia baadaye. Kwa hiyo ni vyema kwa sasa Rais wetu awe karibu sana na washauri wake na apewe ushauri mzuri pia.
 
Reactions: Ame
Kusema asifanye kazi na watu wa Magufuli ni kama kuji shoot kwenye mkono wa kushoto kuliko na moyo kwakua Hayati JPM alitumia mfumo mzima wa nchi kwenye utawala wake sasa ukitaka hayo ya tokee basi futa kila aliyewahi kuwa kwenye public service uanze upya....Hata JPM alitaka kujaribu ikamshinda...

Tatizo la Tanzania ni corrupt beings ambao wamekwepo tangu enzi za Mwl Nyerere waki perpetuate hiyo tabia yao mbaya....Hao wote ambao ma faili yao yapo waondolewe tubakie na wachache hao hao wenye institutional memories ya nchi hii walivushe taifa kwakuunda serikali ya umoja wa kitaifa bila kujali vyama, ukanda, gender au age....Maana hata miongoni mw avijana bado wapo ambao wamekuwa consistent na composed hata katika hii turbulence....


Naamini kabisa Tanzania will find its way through kwakua watanzania wametoa sadaka nyingi sana huku duniani ikiwamo kuwapigania wa africa wenzao ambao wengine leo chumi zao zinatawala Africa....Over to you my God who never disappoints nor fails, forever you remain the same, AMEN
 
Na kesi ya Mbowe ndio inazidi kumtenga na huruma ya Wananchi, asipojitafakari upya atashangaa wenzake wanasimama pembeni kumsimanga.
Hiyo kesi mama anashindwa kuifuta maana kawaaminisha mabwanazake mabeberu kuwa mbowe ni gaidi hivyo akifuta mabeberu wataanza kumuandama kuwa alikuwa anagandamiza democracy na vyama vya upinzani vitaanza tena kusikilizwa na mabeberu
 
Hayo unayo sema ni magumu sana kwa mama
 
Kajishusha mwenyewe thamani kama issues za kovidi,kushobokea chanjo eti tu kisa ana chuki na marehemu magufuli kulimpotezea thamani kwa 80%
 
Siku za mwisho za ccm zilianza na Magufuli
Hapo umebugi magufuli alikuwa ni nyota ya mapambazuko ya alfajiri kwa bara la africa usimfananishe na wapumbavu. Tz maraisi ni wawili tu NYERERE NA MAGUFULI BASI
 
Atawagawiaje ulaji serikalini watanganyika wote? Au unafikiri akiwapa baadhi ya viongozi vinara wa upinzani nyadhfa serikalini (serikali ya umoja wa kitaifa) basi upinzani kwake utakuwa umeisha?

Watanganyika sio wajinga kiasi hicho. Na Tanganyika si sawa na zenj.
 
Hapo umebugi magufuli alikuwa ni nyota ya mapambazuko ya alfajiri kwa bara la africa usimfananishe na wapumbavu tz maraisi ni wawili tu NYERERE NA MAGUFULI BASI
Nyie ndio wale Polepole anawaita wahuni
 
Kiongozi na wenzake wako bize kuhusu 2025 na ndio kwanza 2021 hii.
 
Ukipambana na Sukuma Gang hakuna siku utashinda.
 
Kwa vile tu ni Mzanzibari ndio mnazuka kwa umoja wenu,WaZanzibari lazima popote walipo waamke huu ulimbukeni wa hawa jamaa wanaodai ni ndugu,hawa hawana kheri hata moja hata uwatendee kitu gani,Raisi Samia ajitahidi aipapatuwe Zanzibar kisha awaachie zigo lao walane nyama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…