Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
Tena Ccm vigeugeu kma kinyonga utasikia si tulimshauri hakusikiaNa kesi ya Mbowe ndio inazidi kumtenga na huruma ya Wananchi, asipojitafakari upya atashangaa wenzake wanasimama pembeni kumsimanga.
Mama kadanganywa na kikwete alidhani uraisi ni kazi rahisi akaanza kumtukana MAGUFULI THE GREAT sasa lazima atapata tabu sana atakapokuwa anashindwa jambo lolote kulifanya vizuri maana aliingia madarakani kwa kujipigapiga kifua dhidi ya jpm akitaka kutuaminisha kuwa yeye ana akili kuliko jpmWaache kumnanga marehemu. Huyu ndo alikuwa shujaa wetu
Ni ngumu sana kumshahuri mtu mwenye sifa ya UZUZU nikama kujaribu kumshauri speaker wa bunge utapata tabu sana tena sanaNingelipata nafasi ya kumshauri Mama neno moja tu, ningemshauri ahamishie alichokifanya Karume Jr, afanye kampeni ya muafaka wa kitaifa, serikali ya umoja wa kitaifa, katiba ibadilishwe kuwapatia room wapinzani.
In that case, CCM itajihakikishia kubaki na wapinzani watajihakikishia nafasi ya ushiriki kwenye serikali.
Kuongoza watanganyika ni rahisi sana, coz wengi wao wanalilia maslahi tu! Agawe keki ya taifa kwa wote.
Eti Rais wa inchi kubwa kam hiii anakufa hata hakuna uchunguzi wa kifo chake si hatari hiiikwanza tuambiwe na mifumo rasmi ya uchunguzi Dr. Magufuli alikufa je? kila nafsi itaonja mauti ila tunataka tu kujua ilikuwa je mpaka mzee wa watu akafikwa na umauti?
Ukitaka kuamini JPM Ana nguvu, huyo mama yako aruhusu kura za maoni kwa nafasi ya Urais mwaka 2025Hahahaha mkuu nakuona ukiamini sukuma gang Wana nguvu sana hahahaha hivi ni vichekesho kama vile vya Voda/tigo tu .
Hawana lolote na hawajawahi kuwa na lolote Hawa wa kupiga chini
Stori za wabunge ni zao la magu na Bado wanaamini kwenye upuuzi wa magu ni stori za kitoto tu sijui watapitisha azimio hawana imani na raisi (wakati wanapitisha ye amekaa tu akiwasubiri wajikusanye kusanye ) anawaachaje kulifuta bunge
Mkuu kifupi we ni mnufaika wa sukuma gang na unawapigia promo kijanja hawa wapuuzi wataondoka mmoja baada ya mwingine na hawatakuwa na Iyo nguvu uisemayo (wakitoka tu nje ya mfumo kwisha habari yao)
Kwa mazingira anayoyapitia Mama SSH kwa hivi sasa, na ili aweze kuweka mambo sawa, ni vyema akauvunja mwiko kwa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa. Na pia aufufue upya ule mchakato wa katiba mpya.Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!
Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.
Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.
Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.
Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;
Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.
Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Kusema asifanye kazi na watu wa Magufuli ni kama kuji shoot kwenye mkono wa kushoto kuliko na moyo kwakua Hayati JPM alitumia mfumo mzima wa nchi kwenye utawala wake sasa ukitaka hayo ya tokee basi futa kila aliyewahi kuwa kwenye public service uanze upya....Hata JPM alitaka kujaribu ikamshinda...Mnapokosea ni ile kusema ati asifanye kazi na watu wa Maguguli.I can tell you hapo mnakosea sana na mnataka kumwangusha.Wabunge wote waliyopo ni wa Magufuli.sasa unaposema ati asifanye kazi na watu wamagufuli what do you mean ?Hivi wakitaka kumwangusha si ni kupitisha azimio kule bugeni kuwa hawana Imani na Rais? What is so wrong akifanya kazi na watu wa Magufuli? Guys acheni kumpotosha rais wetu.Na akifanya vita na watu wa Magufuli vita hii itamshinda vibaya sana.Yawezekana kuna mahara JPM alikosea lakini makosa yake ni 5% ya mabaya yake compared to 95 % ya mazuri aliyoifanyia nchi hii.She better be careful na watu wa Magufuli. Mnapokosea etu watu wa Magufuli ni wasukuma.you are 100% wrong.
Hata wabunge wanaojifanya kuwa wanamchukia JPM wakati yeye ndiye aliyewapitisha na kuwanadi kwa waanchi,nao mwisho wao 2025.Nawashauri wafanye kazi kwa kufuata ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 ,mambo mengini hayana faida kwa taifa letu.
Mama ukifanya vita na watu wa Magufuli iko siku watakurushia bomu la shutuma hutapona walahi.
Angevunja angetengeneza maadui wengiKosa kubwa alilofanya mama ni kutovunja baraza la mawaziri alipochukuwa madaraka!
Hiyo kesi mama anashindwa kuifuta maana kawaaminisha mabwanazake mabeberu kuwa mbowe ni gaidi hivyo akifuta mabeberu wataanza kumuandama kuwa alikuwa anagandamiza democracy na vyama vya upinzani vitaanza tena kusikilizwa na mabeberuNa kesi ya Mbowe ndio inazidi kumtenga na huruma ya Wananchi, asipojitafakari upya atashangaa wenzake wanasimama pembeni kumsimanga.
Hayo unayo sema ni magumu sana kwa mamaMi sioni kigumu hapo,ushauri wangu ni kuwa tu achangamshe yale waliyoyaanzisha awamu ya 5 kwani inaonekana kama kuna kupungua kwa speed kidogo,otherwise she is still on right track,lastly asiwe mvivu kumfyatua mtu ambaye anahisi kutokwenda na speed yake hii itamsaidia sana,itajenga discipline...
Mama yako nae rais je ww ni nani?Kosa kubwa alilofanya mama ni kutovunja baraza la mawaziri alipochukuwa madaraka!
Kajishusha mwenyewe thamani kama issues za kovidi,kushobokea chanjo eti tu kisa ana chuki na marehemu magufuli kulimpotezea thamani kwa 80%Mama sijui anamlalamikia nani ikiwa aliyetoka ni ccm, na nyuma nyuma yake walikuwapo ccm.
Atulie tuu miaka yake iishe waje wengine wale keki ya taifa. Maana kila akizichanga karata zake anaona kabisa ushawishi wake ni mdogo kuelekea 2025.
Kama yeye anajiamini atembed bila biti ya ccm aone kama kutoboa kupo.
Hapo umebugi magufuli alikuwa ni nyota ya mapambazuko ya alfajiri kwa bara la africa usimfananishe na wapumbavu. Tz maraisi ni wawili tu NYERERE NA MAGUFULI BASISiku za mwisho za ccm zilianza na Magufuli
Atawagawiaje ulaji serikalini watanganyika wote? Au unafikiri akiwapa baadhi ya viongozi vinara wa upinzani nyadhfa serikalini (serikali ya umoja wa kitaifa) basi upinzani kwake utakuwa umeisha?Ningelipata nafasi ya kumshauri Mama neno moja tu, ningemshauri ahamishie alichokifanya Karume Jr, afanye kampeni ya muafaka wa kitaifa, serikali ya umoja wa kitaifa, katiba ibadilishwe kuwapatia room wapinzani.
In that case, CCM itajihakikishia kubaki na wapinzani watajihakikishia nafasi ya ushiriki kwenye serikali.
Kuongoza watanganyika ni rahisi sana, coz wengi wao wanalilia maslahi tu! Agawe keki ya taifa kwa wote.
Nyie ndio wale Polepole anawaita wahuniHapo umebugi magufuli alikuwa ni nyota ya mapambazuko ya alfajiri kwa bara la africa usimfananishe na wapumbavu tz maraisi ni wawili tu NYERERE NA MAGUFULI BASI
Watatawal kwa njia za uhuni tu. Ccm mnamalizana wenyewe kwa wenyeweUpinzani wenyewe kama ndo huu wa kina lisu CCM itaendelea kutawala miaka 100
Kiongozi na wenzake wako bize kuhusu 2025 na ndio kwanza 2021 hii.Ni ukosefu wa busara mtu kujinasibu kupambania cheo chako. Cheo hakipambaniwi. Ukiwa na fikra za kupambania cheo, KATU huwezi kuwa Mtendaji mzuri abadani. Maana focus yako itakuwa ni cheo na si mahitaji halisi ya watu wako.
Ndo maana kila hitaji muhimu la binadamu limepanda,utafikiri hakuna Kiongozi katika nchi. Imekuwa kama nchi ya Kusadikika chini ya Mfalme Juha. Kumbe watu wako bize kupambania vyeo badala ya kuwatumikia wananchi.
Usifanye hivyo mama, wewe wafikirie wananchi, afu wao watakilinda cheo chako kwa mema utakayowafanyia, na siyo kujifikiria wewe kwanza. Cheo ni mapito tu Mama, kisikuwazishe sana!
Ukipambana na Sukuma Gang hakuna siku utashinda.Hahahaha mkuu nakuona ukiamini sukuma gang Wana nguvu sana hahahaha hivi ni vichekesho kama vile vya Voda/tigo tu .
Hawana lolote na hawajawahi kuwa na lolote Hawa wa kupiga chini
Stori za wabunge ni zao la magu na Bado wanaamini kwenye upuuzi wa magu ni stori za kitoto tu sijui watapitisha azimio hawana imani na raisi (wakati wanapitisha ye amekaa tu akiwasubiri wajikusanye kusanye ) anawaachaje kulifuta bunge
Mkuu kifupi we ni mnufaika wa sukuma gang na unawapigia promo kijanja hawa wapuuzi wataondoka mmoja baada ya mwingine na hawatakuwa na Iyo nguvu uisemayo (wakitoka tu nje ya mfumo kwisha habari yao)
Na iwe hivyo, Amina.Nilisema na nasema, Samia S. Hassan ndiyo alama ya mwisho ya utawala CCM wa na CCM yenyewe Tanzania...!!