Sio wote mkuu[emoji4]Duh wanaume wa Dar mnapiga pweza mpk bi. Mkubwa amesikia taarifa zenu.
Kazi kweli kweliPriority zetu Kama nchi zinachekesha
In the middle of tozo and mfumuko wa Bei ,we are here discussing vumbi la Kongo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mama tunatumia vumbi ili kurudisha nauli zetu, wanachukua nauli kubwa sana....
Dah! Wakereketwa mshaingiza siasa tayar[emoji23]Rafiki yangu anauza sana vumbi la kongo ana dai wateja wakubwa wanasema wao ni wanachama wa chadema.
Chadema punguzeni vumbi la kongo na kula kyepe yai.
😂😂😂😂Uko sahihi 100%
Mkuu ukiwa na msongo wa mawazo kutokana na kipato nyege hukata katakata mkuu
Asante marekebisho 🙏Hudhunisha=huzini=huzunisha
Hawana akili timamu.Vijana Kati ya akili, Hela na nguvu za kiume kipi hawana kabisa ?
Nimetafakari kauli ya rais katika picha [emoji23]@Mshana Jr hizi picha huwa unazitoa wapi? Huu ni ulozi uliokidhiri,
Huyo sio mbwa kwa macho ya gizani,
🤣🤣🤣Ni Kweli kabisa
Kizazi cha Ufipa Energy na Mo Energy
Hii ufipa energy sijawah kuinywa mkuuNi Kweli kabisa
Kizazi cha Ufipa Energy na Mo Energy
Ndo vumbi la kongo mwenyewe boss😂😂Kwa wasiomjua vizur mtoa mada,
Huyo ndie Viagra mwenyewe original
Yaan anaitwa Sildenafil Citrate katika ubora wake[emoji4]
Aisee😯🤣Inafanana na alkasusu
Inategemea your exposureAisifuye mvua imemnyea...mkongo kaujuaje?[emoji1787]
Mimi wa kiume hata siujui
Lumumba ndiyo zenu kuwaungisha wamama wauza mihogo/karanga mbichi na nazi kwenye foleni. Kwisha habari yenu LumumbaNi Kweli kabisa
Kizazi cha Ufipa Energy na Mo Energy
Sasa wewe mbonà hashiki huna Tena[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ni Kweli kabisa
Kizazi cha Ufipa Energy na Mo Energy
Ukiona kimya kaushaMkubwa kuna PM nmekutumia