Rais Samia wakati ukisheherekea Miaka yako Miwili hiki ndicho anachokisema Mwamposa Kanisani Kwake sasa...

Rais Samia wakati ukisheherekea Miaka yako Miwili hiki ndicho anachokisema Mwamposa Kanisani Kwake sasa...

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Hayati Dk. Magufuli ndiyo Rais pekee aliyefanya Kazi za Baraka zaidi na Watanzania tutamkumbuka na tunamkumbuka hadi sasa" amesema Mtume Wao ( siyo wangu ) Mwamposa Ibadani Kwake leo.

Haya Rais Samia Kazi Kwako kwa Mtu ambaye umeshammilikisha eneo la Tanganyika Packers aendelee na Huduma yake na Asifukuzwe au Asiondoshwe tena hapo.

Wakati ukionyesha Kumkubali na muda mwingine hata Kumuomba akuombee na Watendaji wako Serikalini Mwenzako ndiyo Kwanza tena kwa Dharau, Jeuri na Kiburi kingi anaonyesha Kumkubali zaidi Mtangulizi wako Hayati Dk. Magufuli kwa Utawala wake ila Wewe wala hakukubali kabisa na anakukubali Kinafiki tu huku Akikusanifu pia ili tu Usimtoe hapo anapopategemea Kuwadanganya Wavivu wa Kufikiri Tanganyika Packers ili aendelee Kuwachuna ( Kupiga Pesa ) zao huku Akitajirika na Wao wakiendelea kuwa Masikini na Wengine hata Kurukwa na Akili ( Kudata ) mazima.
 
Huo ndiyo UKWELI.Nadhani mleta mada ni moja kati ya watu wenye mtindio wa Ubongo au mlambishwa asali maana inahitaji ujasiri wa hali ya juu kufumbia macho juhudi zilizofanyika awamu ya tano na kulinganisha na hii TAKATAKÀ ya awamu hii.Ni UPUMBAVU kujaribu kulinganisha awamu ya maendeleo nyanja zote (elimu, afya,nishati, miundombinu n.k) na awamu ya hafla,semina,pongezi,asali,asali,asali....chawa, ziara 😀.Awamu hii ni awamu ya hovyo kuwahi kutokea Tz.
 
Na Sisi tunatumia mwanya huo huo Kuwachonganisha ili Mmoja atuachie eneo letu la Tanganyika Packers Kawe ili tupumzike na Utapeli wake na Vichaa wengi Kuongezeka.
Si ndio vizuri waendelee,jioni uwe unapata utelezi kwa urahisi,kwa mabinti wakosa nauli,kiulaini tu unampeleka kwako,alale mpaka mkutano wa kesho yake
 
Huo ndiyo UKWELI.Nadhani mleta mada ni moja kati ya watu wenye mtindio wa Ubongo au mlambishwa asali maana inahitaji ujasiri wa hali ya juu kufumbia macho juhudi zilizofanyika awamu ya tano na kulinganisha na hii TAKATAKÀ ya awamu hii.Ni UPUMBAVU kujaribu kulinganisha awamu ya maendeleo nyanja zote (elimu, afya,nishati, miundombinu n.k) na awamu ya hafla,semina,pongezi,asali,asali,asali....chawa, ziara 😀.Awamu hii ni awamu ya hovyo kuwahi kutokea Tz.
Kwa michuki na miwivu hiyo iliyokujaa usipokuwa makini utajikuta umepitiliza siku zako! Shauri yako....
 
"Hayati Dk. Magufuli ndiyo Rais pekee aliyefanya Kazi za Baraka zaidi na Watanzania tutamkumbuka na tunamkumbuka hadi sasa" amesema Mtume Wao ( siyo wangu ) Mwamposa Ibadani Kwake leo.

Haya Rais Samia Kazi Kwako kwa Mtu ambaye umeshammilikisha eneo la Tanganyika Packers aendelee na Huduma yake na Asifukuzwe au Asiondoshwe tena hapo.

Wakati ukionyesha Kumkubali na muda mwingine hata Kumuomba akuombee na Watendaji wako Serikalini Mwenzako ndiyo Kwanza tena kwa Dharau, Jeuri na Kiburi kingi anaonyesha Kumkubali zaidi Mtangulizi wako Hayati Dk. Magufuli kwa Utawala wake ila Wewe wala hakukubali kabisa na anakukubali Kinafiki tu huku Akikusanifu pia ili tu Usimtoe hapo anapopategemea Kuwadanganya Wavivu wa Kufikiri Tanganyika Packers ili aendelee Kuwachuna ( Kupiga Pesa ) zao huku Akitajirika na Wao wakiendelea kuwa Masikini na Wengine hata Kurukwa na Akili ( Kudata ) mazima.
Tapeli Hilo🙏mbona hakwenda Kuhiji chato nakuhubiri kwenye mji huo kama anaamini ayasemayo? haha anajua chato hawezi pata mazezeta ya kununua mafuta ya alizet na maji ya kandoro, kalaghabaho 😅😅
 
Huo ndiyo UKWELI.Nadhani mleta mada ni moja kati ya watu wenye mtindio wa Ubongo au mlambishwa asali maana inahitaji ujasiri wa hali ya juu kufumbia macho juhudi zilizofanyika awamu ya tano na kulinganisha na hii TAKATAKÀ ya awamu hii.Ni UPUMBAVU kujaribu kulinganisha awamu ya maendeleo nyanja zote (elimu, afya,nishati, miundombinu n.k) na awamu ya hafla,semina,pongezi,asali,asali,asali....chawa, ziara 😀.Awamu hii ni awamu ya hovyo kuwahi kutokea Tz.
Unamwita Rais wa Jamhuri takataka?futa kauli yako ndugu hiko kitekno Cha kariakoo kisikupe kiburi,we ni kajitu kadogo Sana nchi hii 😅
 
Unamwita Rais wa Jamhuri takataka?futa kauli yako ndugu hiko kitekno Cha kariakoo kisikupe kiburi,we ni kajitu kadogo Sana nchi hii 😅
Nadhani hawa watu wanathamani zaidi kuliko hizo TAKATAKA zilizopo ikulu, wanastahili zaidi asali, wanastahili huduma bora za afya, wanastahili maji, umeme wa uhakika, elimu bora, miundombinu bora n.k
Wala hawahitaji semina, hafla za pongezi sijui birthday party, ziara, uchawa n.k

images - 2023-03-19T130410.652.jpeg
 
Back
Top Bottom