Rais Samia wakati ukisheherekea Miaka yako Miwili hiki ndicho anachokisema Mwamposa Kanisani Kwake sasa...

Rais Samia wakati ukisheherekea Miaka yako Miwili hiki ndicho anachokisema Mwamposa Kanisani Kwake sasa...

Nadhani hawa watu wanathamani zaidi kuliko hizo TAKATAKA zilizopo ikulu, wanastahili zaidi asali, wanastahili huduma bora za afya, wanastahili maji, umeme wa uhakika, elimu bora, miundombinu bora n.k
Wala hawahitaji semina, hafla za pongezi sijui birthday party, ziara, uchawa n.k

View attachment 2557839
Picha kabla ya Uhuru,inakaribia miaka 120 iliyopita.
 
Back
Top Bottom