Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hilo eneo ni la Mama samia?Mwamposa anamkubali zaidi Hayati Dk. Magufuli kuliko Rais Samia hivyo wanampa tu hilo eneo hapo la Tanganyika Packers bure wakati Yeye hampendi Mama ( Rais ), ila anampenda Kinafiki huku Akimsanifu. Wamwondoe haraka hapa Kawe Tanganyika Packers tafadhali.
Huyo jamaa kakuchukulia demu Nini🤣🤣"Hayati Dk. Magufuli ndiyo Rais pekee aliyefanya Kazi za Baraka zaidi na Watanzania tutamkumbuka na tunamkumbuka hadi sasa" amesema Mtume Wao ( siyo wangu ) Mwamposa Ibadani Kwake leo.
Haya Rais Samia Kazi Kwako kwa Mtu ambaye umeshammilikisha eneo la Tanganyika Packers aendelee na Huduma yake na Asifukuzwe au Asiondoshwe tena hapo.
Wakati ukionyesha Kumkubali na muda mwingine hata Kumuomba akuombee na Watendaji wako Serikalini Mwenzako ndiyo Kwanza tena kwa Dharau, Jeuri na Kiburi kingi anaonyesha Kumkubali zaidi Mtangulizi wako Hayati Dk. Magufuli kwa Utawala wake ila Wewe wala hakukubali kabisa na anakukubali Kinafiki tu huku Akikusanifu pia ili tu Usimtoe hapo anapopategemea Kuwadanganya Wavivu wa Kufikiri Tanganyika Packers ili aendelee Kuwachuna ( Kupiga Pesa ) zao huku Akitajirika na Wao wakiendelea kuwa Masikini na Wengine hata Kurukwa na Akili ( Kudata ) mazima.
Mkuu mimi naungana sana na wewe ila tupunguze ukali wa maneno wakati tunaelekeza mashambulizi kwa Mama na machawa wake tukiwajumlisha na chadema.Huo ndiyo UKWELI.Nadhani mleta mada ni moja kati ya watu wenye mtindio wa Ubongo au mlambishwa asali maana inahitaji ujasiri wa hali ya juu kufumbia macho juhudi zilizofanyika awamu ya tano na kulinganisha na hii TAKATAKÀ ya awamu hii.Ni UPUMBAVU kujaribu kulinganisha awamu ya maendeleo nyanja zote (elimu, afya,nishati, miundombinu n.k) na awamu ya hafla,semina,pongezi,asali,asali,asali....chawa, ziara 😀.Awamu hii ni awamu ya hovyo kuwahi kutokea Tz.
Hapo shida ni mke wako. Sio manabii unaowaita wa mchongo.Wife ana wiki harudi home yupo kwa manabii wa mchongo huko.
Kwa Jina la Yesu, amelaaniwaHii Laana yako Kwangu ikurudie Wewe na Koo zako zote mbili Maradufu kabisa.
Tena hao wavaa ushungi wengi kutokea temeke huku na mipepo yao ndo huwa wanajaa kwa Mwamposa!Amekutapeli nini wewe!? Acha hizi chuki. Heshimu imani ya mtu. Hakuna anayelazimishwa kwenda kwa Mwamposa. Wanaoenda wanajua kwa nini wanaenda. By the waya Biblia kila mtu ana namna yake ya kuisoma na kuielewa.
Aisee! basi bwana.Hapo shida ni mke wako. Sio manabii unaowaita wa mchongo.
Kumbe eeh"Hayati Dk. Magufuli ndiyo Rais pekee aliyefanya Kazi za Baraka zaidi na Watanzania tutamkumbuka na tunamkumbuka hadi sasa" amesema Mtume Wao ( siyo wangu ) Mwamposa Ibadani Kwake leo.
Haya Rais Samia Kazi Kwako kwa Mtu ambaye umeshammilikisha eneo la Tanganyika Packers aendelee na Huduma yake na Asifukuzwe au Asiondoshwe tena hapo.
Wakati ukionyesha Kumkubali na muda mwingine hata Kumuomba akuombee na Watendaji wako Serikalini Mwenzako ndiyo Kwanza tena kwa Dharau, Jeuri na Kiburi kingi anaonyesha Kumkubali zaidi Mtangulizi wako Hayati Dk. Magufuli kwa Utawala wake ila Wewe wala hakukubali kabisa na anakukubali Kinafiki tu huku Akikusanifu pia ili tu Usimtoe hapo anapopategemea Kuwadanganya Wavivu wa Kufikiri Tanganyika Packers ili aendelee Kuwachuna ( Kupiga Pesa ) zao huku Akitajirika na Wao wakiendelea kuwa Masikini na Wengine hata Kurukwa na Akili ( Kudata ) mazima.
Tofauti ni kubwa sana.. Kipindi cha Magu uongo ulikuwa mwingi sana na unapambwa kuwa kweli. Uhuru wa Kumilik uchumi ulikuwa hamna magenge yaliongezeka watu wenye wiv na ubinafsi walikuwa wengi na demokrasia ilizikwa. Wasema kweli kama Mh Lissu walipigwa Risasi adharan kilichokuwa kimebaki ni kusifia tu mtu mmoja.. Awamu ya mama iko fair kwa watu wote ukiweza kupambana kuwa mtu flan ni juhud zako hakuna kubebwa bebwa mgongon. Nchi imekuwa nzr kwa watu wote na dunian wameelewa mpaka Makamu wa Raisi wa Marekan anakuja Bongo.Huo ndiyo UKWELI.Nadhani mleta mada ni moja kati ya watu wenye mtindio wa Ubongo au mlambishwa asali maana inahitaji ujasiri wa hali ya juu kufumbia macho juhudi zilizofanyika awamu ya tano na kulinganisha na hii TAKATAKÀ ya awamu hii.Ni UPUMBAVU kujaribu kulinganisha awamu ya maendeleo nyanja zote (elimu, afya,nishati, miundombinu n.k) na awamu ya hafla,semina,pongezi,asali,asali,asali....chawa, ziara 😀.Awamu hii ni awamu ya hovyo kuwahi kutokea Tz.
Kila mtu na anayemkubali,tusilazimishane na Kila mtu ana sababu zake.."Hayati Dk. Magufuli ndiyo Rais pekee aliyefanya Kazi za Baraka zaidi na Watanzania tutamkumbuka na tunamkumbuka hadi sasa" amesema Mtume Wao ( siyo wangu ) Mwamposa Ibadani Kwake leo.
Haya Rais Samia Kazi Kwako kwa Mtu ambaye umeshammilikisha eneo la Tanganyika Packers aendelee na Huduma yake na Asifukuzwe au Asiondoshwe tena hapo.
Wakati ukionyesha Kumkubali na muda mwingine hata Kumuomba akuombee na Watendaji wako Serikalini Mwenzako ndiyo Kwanza tena kwa Dharau, Jeuri na Kiburi kingi anaonyesha Kumkubali zaidi Mtangulizi wako Hayati Dk. Magufuli kwa Utawala wake ila Wewe wala hakukubali kabisa na anakukubali Kinafiki tu huku Akikusanifu pia ili tu Usimtoe hapo anapopategemea Kuwadanganya Wavivu wa Kufikiri Tanganyika Packers ili aendelee Kuwachuna ( Kupiga Pesa ) zao huku Akitajirika na Wao wakiendelea kuwa Masikini na Wengine hata Kurukwa na Akili ( Kudata ) mazima.
Taka taka mama yako alie kuzaa. Usimtukane raisi wetu.Huo ndiyo UKWELI.Nadhani mleta mada ni moja kati ya watu wenye mtindio wa Ubongo au mlambishwa asali maana inahitaji ujasiri wa hali ya juu kufumbia macho juhudi zilizofanyika awamu ya tano na kulinganisha na hii TAKATAKÀ ya awamu hii.Ni UPUMBAVU kujaribu kulinganisha awamu ya maendeleo nyanja zote (elimu, afya,nishati, miundombinu n.k) na awamu ya hafla,semina,pongezi,asali,asali,asali....chawa, ziara [emoji3].Awamu hii ni awamu ya hovyo kuwahi kutokea Tz.
We jamaa unajua kusagia kunguni aisee😂"Hayati Dk. Magufuli ndiyo Rais pekee aliyefanya Kazi za Baraka zaidi na Watanzania tutamkumbuka na tunamkumbuka hadi sasa" amesema Mtume Wao ( siyo wangu ) Mwamposa Ibadani Kwake leo.
Haya Rais Samia Kazi Kwako kwa Mtu ambaye umeshammilikisha eneo la Tanganyika Packers aendelee na Huduma yake na Asifukuzwe au Asiondoshwe tena hapo.
Wakati ukionyesha Kumkubali na muda mwingine hata Kumuomba akuombee na Watendaji wako Serikalini Mwenzako ndiyo Kwanza tena kwa Dharau, Jeuri na Kiburi kingi anaonyesha Kumkubali zaidi Mtangulizi wako Hayati Dk. Magufuli kwa Utawala wake ila Wewe wala hakukubali kabisa na anakukubali Kinafiki tu huku Akikusanifu pia ili tu Usimtoe hapo anapopategemea Kuwadanganya Wavivu wa Kufikiri Tanganyika Packers ili aendelee Kuwachuna ( Kupiga Pesa ) zao huku Akitajirika na Wao wakiendelea kuwa Masikini na Wengine hata Kurukwa na Akili ( Kudata ) mazima.
Ana kibri sanaaa na ningekuwa sehemu ya serikali angejua hajui huyu mpuuzi.Mwamposa ana KIBRI.. atashughulikiwa kimyakimya.
Huna jipya. Wapuuzi wenzio wako Rafia pale Africana Wana sifu na kumuabudu huyo Maza. Miaka miwili hata Barbara ya km 100 hakuna. Ni mikopo na Tozo Tu. Zinafanyia nini hakuna zaidi ya blaa blaa. Sasa hivi kaibukia NHIF.Siku hizi mkitoka Ibadani kwa Mtume Wenu Mwamposa mnaruhusiwa Kutukana na kuwa na Hasira hivi?
Tehe tehe teheeeeeeUnahisi umejifiicha.. 🤣🤣.. Unachoongea inaweza kua kweli ila kumuita Rais takataka ni kukosa nidhamu