mbutamaseko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 743
- 1,071
Kwani lazima ampende Samia? Kifupi huyo Mamaako anapendwa na wenye Maslahi nae na wazee wa kujipendekeza Kama unavyojiona hapo. Usiforce mfanane. PumbaaaaaaavuMwamposa anamkubali zaidi Hayati Dk. Magufuli kuliko Rais Samia hivyo wanampa tu hilo eneo hapo la Tanganyika Packers bure wakati Yeye hampendi Mama ( Rais ), ila anampenda Kinafiki huku Akimsanifu. Wamwondoe haraka hapa Kawe Tanganyika Packers tafadhali.