Rais Samia wakati ukisheherekea Miaka yako Miwili hiki ndicho anachokisema Mwamposa Kanisani Kwake sasa...

Bin Adam ni kiumbe bora na wa ajabu.
 
We mzee, kwani ni lazima kumkubali Samia?
 
Tapeli Hilo🙏mbona hakwenda Kuhiji chato nakuhubiri kwenye mji huo kama anaamini ayasemayo? haha anajua chato hawezi pata mazezeta ya kununua mafuta ya alizet na maji ya kandoro, kalaghabaho 😅😅
Wacha mazezeta tununue hayo mafuta, kwani tunatumia hela zetu na sio zako. By the way, mambo ya Imani ni magumu sana kuyaelewa. Kukosoa imani yangu tena ambayo haivunji sheria ya nchi , ni sawa na kutaka niamini unachokiamini wewe. Huo ni ubinafsi mkubwa sana.
 
Hawa hata biblia huwa wanatulia wakaisoma kweli au wanaangalia upepo tu wa waumini. Mataleli wakubwa
 
Hawa hata biblia huwa wanatulia wakaisoma kweli au wanaangalia upepo tu wa waumini. Mataleli wakubwa
Amekutapeli nini wewe!? Acha hizi chuki. Heshimu imani ya mtu. Hakuna anayelazimishwa kwenda kwa Mwamposa. Wanaoenda wanajua kwa nini wanaenda. By the waya Biblia kila mtu ana namna yake ya kuisoma na kuielewa.
 
kama ulikuwa unafaidika katika awamu iliyopita na sasa imekula kwako, unabaki unabweka tu kama kidogi njaa.
 
wachonganishi kama wewe hamfai kuwapo nchini, una chuki na msema kweli...utalaaniwa wewe na uzao wako kuwa makini
 
wachonganishi kama wewe hamfai kuwapo nchini, una chuki na msema kweli...utalaaniwa wewe na uzao wako kuwa makini
Hii Laana yako Kwangu ikurudie Wewe na Koo zako zote mbili Maradufu kabisa.
 
Amekutapeli nini wewe!? Acha hizi chuki. Heshimu imani ya mtu. Hakuna anayelazimishwa kwenda kwa Mwamposa. Wanaoenda wanajua kwa nini wanaenda. By the waya Biblia kila mtu ana namna yake ya kuisoma na kuielewa.
Wife ana wiki harudi home yupo kwa manabii wa mchongo huko.
 
Aende akamfufue huyo shetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…