Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Inamaana hakunaga riport za wakuu wa wilaya na kazi zilizofanyika wilayani mi nilijua kila mwezi ripoti inaofika huko juu kumbe hakuna kitu..wakuu wa mkoa nataka ripoti za wakuu wenu wa wilaya.”
MaDC wa kike waliochini ya maRC wa kiume wanaingia matataniwakuu wa mkoa nataka ripoti za wakuu wenu wa wilaya.”
Mlio karibu na mama pelekeni cv yangu, Naweza kumsaidia vizuri wilaya au mkoa wowote hasa kanda ya ziwa, mkeka huo nisikose wazeeRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Wakuu wa wilaya nchini wameacha kufanya kazi kwa hofu ya kuondolewa au kuhamishwa vituo vya kazi.
“Wakuu wa wilaya hamfanyi kazi, mnasubiri mkeka. Sikusema nitawabadilisha leo au kesho, kwahiyo kama hamfanyi kazi hao ndiyo wangu.”
“Kutoa mkeka ni kazi yangu na nitautoa wakati muafaka, wakuu wa mkoa nataka ripoti za wakuu wenu wa wilaya.”
Ameyasema hayo wakati akishiriki hafla utiaji saini Mkataba wa Usimamiaji wa Shughuli za Lishe leo tarehe 30 Septemba, katika Jengo la Kitega Uchumi jijini Dodoma
Halaf mkoa wenyewe DaslamWafanye kaz gan wakat hamna cha kufanya? Hivi vyeo vya rc na dc havina mana yan mkoa mmoja unakuta una wabunge zaid ya wa3, dc,rc,ras,das na wote wanalipwa kupitia kodi na tozo za wananch
Ni kweli
Cheo cha mkuu wa Wilaya kifutwe DED anatosha
Mbona RDD aliondolewa na RC anachapa kazi kama kawa!
RDD ndio RAS kwa sasa.Ni kweli
Cheo cha mkuu wa Wilaya kifutwe DED anatosha
Mbona RDD aliondolewa na RC anachapa kazi kama kawa!
Fundi gereji huyo.Countrywide mama zuri ulikua umerelax sana mkeka mpya wa madc upo pale-pale
Na ww ukikosa safari hii kama njaa kali basi, kachukuwe dume lako la mbuzi mweusi kwa kalumanzila wako.Unaweza kukuta hata Mbowe katuma kimemo