Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Nafasi ya DAS ni msaidizi wa mkuu wa wilaya na hufanya majukumu kwa niaba ya serikali kuu.Niko Hapa kuelimishwa punguza hasira
Lete majibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafasi ya DAS ni msaidizi wa mkuu wa wilaya na hufanya majukumu kwa niaba ya serikali kuu.Niko Hapa kuelimishwa punguza hasira
Lete majibu
Hakuna unachojua. Kaa kimya wewe bintiNafasi ya DAS ni msaidizi wa mkuu wa wilaya na hufanya majukumu kwa niaba ya serikali kuu.
We unajua nini?Hakuna unachojua. Kaa kimya wewe binti
Kifutwe tu.Ni kweli
Cheo cha mkuu wa Wilaya kifutwe DED anatosha
Mbona RDD aliondolewa na RC anachapa kazi kama kawa!
Nakubaliana nawe!Wafanye kaz gan wakat hamna cha kufanya? Hivi vyeo vya rc na dc havina mana yan mkoa mmoja unakuta una wabunge zaid ya wa3, dc,rc,ras,das na wote wanalipwa kupitia kodi na tozo za wananch